MKUYENGE JF-Expert Member Joined Jun 26, 2019 Posts 4,106 Reaction score 4,619 Jan 28, 2020 #1 Let;s discuss about it. Nakuomba mwana JamiiForums utoe maoni yako; je hii ilikuwa biashara? Kama ilikuwa bishara, nani aliyekuwa anawauza hao watumwa? Je, njia za upatikanaji watumwa mfano, kidnapping, Ambush, na ulaghai hiyo ni biashara? historians je tukiulizwa how many African waliosafirishwa first kwenda EUROPE tutajibuje? Je, ni kwa ujumla watumwa wangapi waliopelekwa Ulaya? Naomba kuelewa kuhusu hayo. Sent using Jamii Forums mobile app
Let;s discuss about it. Nakuomba mwana JamiiForums utoe maoni yako; je hii ilikuwa biashara? Kama ilikuwa bishara, nani aliyekuwa anawauza hao watumwa? Je, njia za upatikanaji watumwa mfano, kidnapping, Ambush, na ulaghai hiyo ni biashara? historians je tukiulizwa how many African waliosafirishwa first kwenda EUROPE tutajibuje? Je, ni kwa ujumla watumwa wangapi waliopelekwa Ulaya? Naomba kuelewa kuhusu hayo. Sent using Jamii Forums mobile app
jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,368 Jan 28, 2020 #2 Soma historia ili ujue historia.
Zawadini JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 2,997 Reaction score 2,198 Jan 29, 2020 #3 Ilikuwa ni biashara. Wahusika wakuu walikuwa wazazi na machifu. Baadae wanunuzi walipoona ni baishara inayolipa wakawa wanawachukua kwa nguvu kwa kuiwateka au kuwavamia. Nimeona nianzie hapo.
Ilikuwa ni biashara. Wahusika wakuu walikuwa wazazi na machifu. Baadae wanunuzi walipoona ni baishara inayolipa wakawa wanawachukua kwa nguvu kwa kuiwateka au kuwavamia. Nimeona nianzie hapo.
EvilSpirit JF-Expert Member Joined Jun 15, 2017 Posts 13,265 Reaction score 20,868 Jan 29, 2020 #4 Hivi unatujaribu,au uko serious
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,703 Reaction score 71,040 Jan 29, 2020 #5 Our Story: Africa from Antiquity to the 21ST Century by Dr Gaid FarajView attachment 1339250