taarifa ni kwamba slaa amekwama kufanya mkutano kijiji cha mwandinga kutokana na wananchi kutojitokeza kabisa/kususia mkutano huo na kuendelea na kazi za kuijenga nchi.
Hadi muda huu slaa na timu yake wanatafuta eneo la kufanyia mkutano jimboni kwa zitto hapo kesho.
Tukio hilo limetokea jioni ya leo.
mapokezi makubwa ya msafara wa pikipiki na magari hapa mwandiga yanamlaki gwiji wa siasa tanzania na katibu mkuu wa chadema dr wilbroad slaa kuelekea kigoma mjini.
Watu wako njiani wakinyoosha vidole viwili hewani, ishara ya kusapoti chama chao. Mapokezi ni makubwa kweli kweli chama kinapewa hapa.
Wenye magari wanaonekana kutoa heshima kwa kuweka magari pembeni na kupiga honi mfululizo wakikaribisha msafara wa katibu mkuu.
Mji wa kigoma uko hai hai sasa. Honi na vidole viwili alama ya amani, upendo na ushindi, zimehanikiza
source: Afisa habari mkuu chadema tumaini makene
updates kutoka mwananchi breaking news chini......
Dr slaa aiteka kigoma: Awasili jioni hii, apata mapokezi makubwa. Msafara wake una magari zaidi ya 22, pikipiki 150, magari 4 ya polisi, ulinzi waimarishwa.
Taarifa ni Kwamba Slaa amekwama kufanya Mkutano kijiji cha Mwandinga kutokana na wananchi kutojitokeza kabisa/kususia Mkutano huo na kuendelea na Kazi za kuijenga nchi.
Hadi Muda huu Slaa na timu yake wanatafuta eneo la kufanyia Mkutano jimboni kwa zitto hapo Kesho.
Tukio hilo limetokea jioni ya leo.
Taarifa ni Kwamba Slaa amekwama kufanya Mkutano kijiji cha Mwandinga kutokana na wananchi kutojitokeza kabisa/kususia Mkutano huo na kuendelea na Kazi za kuijenga nchi.
Hadi Muda huu Slaa na timu yake wanatafuta eneo la kufanyia Mkutano jimboni kwa zitto hapo Kesho.
Tukio hilo limetokea jioni ya leo.
Taarifa ni Kwamba Slaa amekwama kufanya Mkutano kijiji cha Mwandinga kutokana na wananchi kutojitokeza kabisa/kususia Mkutano huo na kuendelea na Kazi za kuijenga nchi.
Hadi Muda huu Slaa na timu yake wanatafuta eneo la kufanyia Mkutano jimboni kwa zitto hapo Kesho.
Tukio hilo limetokea jioni ya leo.
Slaa pole na CDM yako ambako umepangisha~Bango.