Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 447
Taarifa ni Kwamba Slaa amekwama kufanya Mkutano kijiji cha Mwandinga kutokana na wananchi kutojitokeza kabisa/kususia Mkutano huo na kuendelea na Kazi za kuijenga nchi.
Hadi Muda huu Slaa na timu yake wanatafuta eneo la kufanyia Mkutano jimboni kwa zitto hapo Kesho.
Tukio hilo limetokea jioni ya leo.
Hadi Muda huu Slaa na timu yake wanatafuta eneo la kufanyia Mkutano jimboni kwa zitto hapo Kesho.
Tukio hilo limetokea jioni ya leo.