Siyo vibaya Makonda akaomba radhi Ili maisha yaendelee, bado anahitajika kwenye Uongozi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
86,486
147,256
Nimeona clip ya RC Makonda akiwa Longido na kisha yamefuatia malalamiko kutoka Kituo cha Haki za Binadamu pale Kijitonyama na sasa Umoja wa Wanawake wa CCM

Kufikia kesho siyo ajabu tukawasikia wameongezeka Bawacha, Mewata, Uvikanjo, Ngome ya Wanawake ACT wazalendo nk..nk

Nakushauri tu bwana mdogo Paul kwa kuwa Nia Yako ilikuwa ni Njema tu basi omba tu radhi kama wanavyodai walalamikaji Ili maisha yaendelee

Hii Dunia imejaa uonevu na mioyo ya Wanadamu imejaa Uovu, nakumbuka DAS wa Kisarawe alitumbuliwa hadharani kibabe Kabisa na Shujaa Magufuli lakini hakunaga Taasisi yoyote iliyomtetea Labda kwa sababu alikuwa ni njemba

Kibongobongo Ukimsifia mkeo hadharani Hata Wadangaji watakununia🐼

Mlale Unono 😀😀🔥
 
Nimeona clip ya RC Makonda akiwa Longidi na kisha yamefuatia malalamiko kutoka Kituo cha Haki za Binadamu pale Kijitonyama na sasa Umoja wa Wanawake wa CCM

Kufikia kesho siyo ajabu tukawasikia wameongezeka Bawacha, Mewata, Uvikanjo, Ngome ya Wanawake ACT wazalendo nk..nk

Nakushauri tu bwana mdogo Paul kwa kuwa Nia Yako ilikuwa ni Njema tu basi omba tu radhi kama wanavyodai walalamikaji Ili maisha yaendelee

Hii Dunia imejaa uonevu na mioyo ya Wanadamu imejaa Uwovu, nakumbuka DAS wa Kisarawe alitumbuliwa hadharani kibabe Kabisa na Shujaa Magufuli lakini hakunaga Taasisi yoyote iliyomtetea Labda kwa sababu alikuwa ni njemba

Kibongobongo Ukimsifia mkeo hadharani Hata Wadangaji watakununia🐼

Mlale Unono 😀😀🔥
Aaaahaaa
 
Makonda Hana tofauti na  abasijda wa kwenye Quran!
He is a beautiful dracula.
 
Unajua Mimi Wakati mwingine huwa najiuliza hivi kweli kati ya watu million 60+ nafasi za Uongozi lazima zirudie Kwa wale wale tuuuu hata kama wana haribu? Maana mtu huyo anqharibu Halafu anatumbuliwa, kesho anarudi Tena, labda Uongozi ni Kwa baadhi ya watu flani na siyo fursa Kwa wote.
Maneno aliyotumia Makonda Kwa yule mwanamke ni mabaya kabisa.
Aliwahi siku Moja kule kule Arusha kumwambia AFISA Mipango miji wa Arusha kuwa ,Kama mji huu haujapangwa tutakupanga wewe, Sasa li mji hilo liko vile Kitambo na yeye kaja juzi TU, Sasa maneno makali yote hayo ya nini?
Ifike mahali wateuzi waangalie upya mambo haya
 
Nimeona clip ya RC Makonda akiwa Longidi na kisha yamefuatia malalamiko kutoka Kituo cha Haki za Binadamu pale Kijitonyama na sasa Umoja wa Wanawake wa CCM

Kufikia kesho siyo ajabu tukawasikia wameongezeka Bawacha, Mewata, Uvikanjo, Ngome ya Wanawake ACT wazalendo nk..nk

Nakushauri tu bwana mdogo Paul kwa kuwa Nia Yako ilikuwa ni Njema tu basi omba tu radhi kama wanavyodai walalamikaji Ili maisha yaendelee

Hii Dunia imejaa uonevu na mioyo ya Wanadamu imejaa Uwovu, nakumbuka DAS wa Kisarawe alitumbuliwa hadharani kibabe Kabisa na Shujaa Magufuli lakini hakunaga Taasisi yoyote iliyomtetea Labda kwa sababu alikuwa ni njemba

Kibongobongo Ukimsifia mkeo hadharani Hata Wadangaji watakununia🐼

Mlale Unono 😀😀🔥
Hizo taasisi zimepangwa kulalamika Ili aliwe kichwa!!

Anyway faida ya makonda ni kubwa Sana kuliko ukali wa tuhuma zinazomkabili!

Watz tuna vitabia vya kujali vitu simple visivyo na maana na kuacha mambo makubwa mtambuka kwa Taifa!

Makonda ndio nuru pekee inayoeleweka Kwa chama japo ana makando kando yake kibao!!

Mimi nipo upande wake!

Sijaona udhalilishaji hapo!!ni ule ubwanyenye wa kubebana kwenye mambo yasiyo na tija!
 
Nimeona clip ya RC Makonda akiwa Longidi na kisha yamefuatia malalamiko kutoka Kituo cha Haki za Binadamu pale Kijitonyama na sasa Umoja wa Wanawake wa CCM

Kufikia kesho siyo ajabu tukawasikia wameongezeka Bawacha, Mewata, Uvikanjo, Ngome ya Wanawake ACT wazalendo nk..nk

Nakushauri tu bwana mdogo Paul kwa kuwa Nia Yako ilikuwa ni Njema tu basi omba tu radhi kama wanavyodai walalamikaji Ili maisha yaendelee

Hii Dunia imejaa uonevu na mioyo ya Wanadamu imejaa Uwovu, nakumbuka DAS wa Kisarawe alitumbuliwa hadharani kibabe Kabisa na Shujaa Magufuli lakini hakunaga Taasisi yoyote iliyomtetea Labda kwa sababu alikuwa ni njemba

Kibongobongo Ukimsifia mkeo hadharani Hata Wadangaji watakununia🐼

Mlale Unono 😀😀🔥
Nani analihitaji lile zero brain. Siku zote huwa nasema kwamba ukifeli darani uko likely kufeli kila kitu. Hii ni principle ya socratis
 
Nimeona clip ya RC Makonda akiwa Longidi na kisha yamefuatia malalamiko kutoka Kituo cha Haki za Binadamu pale Kijitonyama na sasa Umoja wa Wanawake wa CCM

Kufikia kesho siyo ajabu tukawasikia wameongezeka Bawacha, Mewata, Uvikanjo, Ngome ya Wanawake ACT wazalendo nk..nk

Nakushauri tu bwana mdogo Paul kwa kuwa Nia Yako ilikuwa ni Njema tu basi omba tu radhi kama wanavyodai walalamikaji Ili maisha yaendelee

Hii Dunia imejaa uonevu na mioyo ya Wanadamu imejaa Uwovu, nakumbuka DAS wa Kisarawe alitumbuliwa hadharani kibabe Kabisa na Shujaa Magufuli lakini hakunaga Taasisi yoyote iliyomtetea Labda kwa sababu alikuwa ni njemba

Kibongobongo Ukimsifia mkeo hadharani Hata Wadangaji watakununia🐼

Mlale Unono 😀😀🔥
Amakweli Dunia ina mambo, "KINYAGO" walicho kichonga wenyewe leo kinawatisha, wanakimbia..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimeona clip ya RC Makonda akiwa Longidi na kisha yamefuatia malalamiko kutoka Kituo cha Haki za Binadamu pale Kijitonyama na sasa Umoja wa Wanawake wa CCM

Kufikia kesho siyo ajabu tukawasikia wameongezeka Bawacha, Mewata, Uvikanjo, Ngome ya Wanawake ACT wazalendo nk..nk

Nakushauri tu bwana mdogo Paul kwa kuwa Nia Yako ilikuwa ni Njema tu basi omba tu radhi kama wanavyodai walalamikaji Ili maisha yaendelee

Hii Dunia imejaa uonevu na mioyo ya Wanadamu imejaa Uwovu, nakumbuka DAS wa Kisarawe alitumbuliwa hadharani kibabe Kabisa na Shujaa Magufuli lakini hakunaga Taasisi yoyote iliyomtetea Labda kwa sababu alikuwa ni njemba

Kibongobongo Ukimsifia mkeo hadharani Hata Wadangaji watakununia🐼

Mlale Unono 😀😀🔥
Hana nia njema huyo ni mlevi wa madaraka na ujinga kichwan mwake
 
Nimeona clip ya RC Makonda akiwa Longidi na kisha yamefuatia malalamiko kutoka Kituo cha Haki za Binadamu pale Kijitonyama na sasa Umoja wa Wanawake wa CCM

Kufikia kesho siyo ajabu tukawasikia wameongezeka Bawacha, Mewata, Uvikanjo, Ngome ya Wanawake ACT wazalendo nk..nk

Nakushauri tu bwana mdogo Paul kwa kuwa Nia Yako ilikuwa ni Njema tu basi omba tu radhi kama wanavyodai walalamikaji Ili maisha yaendelee

Hii Dunia imejaa uonevu na mioyo ya Wanadamu imejaa Uwovu, nakumbuka DAS wa Kisarawe alitumbuliwa hadharani kibabe Kabisa na Shujaa Magufuli lakini hakunaga Taasisi yoyote iliyomtetea Labda kwa sababu alikuwa ni njemba

Kibongobongo Ukimsifia mkeo hadharani Hata Wadangaji watakununia🐼

Mlale Unono 😀😀🔥
Hiyo akili ya kuomba msamaha ataipata wapi?

Tukisema aliiba jina la mtu kusoma shule hatudanganyi
 
Back
Top Bottom