Siwaelewi Hamas!


Waisraeli ndio wanaouwa watoto na raia wasio na hatia yeyote ile, tafadhali cheki hapo chini,

check hapo chini,

Palestinian Mothers
 



Hamas ni chama kilichochaguliwa na kushinda kidemocrasia huko Palestine - ambaya imekaliwa kibeberu na Mayahudi. Ukiacha kuingiza dini hamasi ndio chama kilichoonekana kikishughulikia hali ya wananchi na chama ambacho hakikuwa cha bandia. Na nchi nyingi magharibi hawakupenda na kuanza kuwawekea vikwazo hapo hapo. Lakini mpaka sasa wameshindwa kuking'oa hata ile vita ya kuuwa watoto kwa wingi huko gaza na vikwazo vya kuzuia hata chakula. Inatufundisha kitu kimoja hapa!

Hataki kuwaelewa hamasi kwa sababu ni kipofu unamacho ila hauoni, una masikio ila hausikii. Hata kama hawana vyombo vilivyotandaa ulimwengu mzima kama vinavyoongozwa na Israel duniani, hawana mtetezi ila mashujaa wachache. Hata nchi zilizo huru zinaoogopa kufungua midomo yao kwa mabavu ya nchi zenye power lakini dhuluma iwazi kwa mtu mwenye akili.

Pia Bahati mbaya kuna baadhi ya wakiristo wanaomini kuwa hawaingii peponi bila ya kusupport Muisraili hata akinyonga watu ovyo ingawa wayahudi hawatambui Yesu na wanamuona kama ni mwana haramu na hwana ukiristo.

Usiwaele au uwaele Hamas haisaiidii. Wataendelea kupigania haki za watu wao wanaoonewa mpaka siku haki itakoposimamishwa.Maana dawa ya moto ni moto!.
 
Huko uchina subiri wakiwa wengi utaona wanaanza ooh waislamu tunaonewa, oooh...., mwisho wa siku mabomu yataanza kulipuliwa "kwa njia ya Allah!"

China Kuna Waislamu Milioni 39.111 na wanaishi kiusalama kabisa kama sisi waislamu wa tanzania tunavyo ishi kiusalama kabisa, Uislamu ni Usalama.

check link hii chini,

Muslim Population
 

Wallahi sijui ulicho andika ni nini, samahani naomba ufafanuzi zaidi.
 
Kama ambavyo kula na hela ya viongozi wa CCM inavyotokana na umasikini wa waTZ. Hamas na CCM have one thing in common they are well organized criminal organizations ambazo zinavaa mwamvuli wa chama.

Hahahahahahaha! Umeniacha hoi kwa kujumlisha mambo
 
Huu uislamu jamani...................ni dini ya chuki wakati wote..............ua wengi ndugu zako wapate faida kweli dini inafundisha na kuagiza watu kuua hovyo?...dunia bila uislamu ingekuwa salama sana
Jile79 Wewe umesoma mpaka Darasa la ngapi? Kwanza ninataka kujuwa pili hii Topic iliyoanzishwa si juu ya Uislam watu wanazungumzia Hamas wewe unazungmzia chuki zako juu ya Uislam. Ukisema neno Uislam umekusudia Waislam wote sasa inatakiwa ukizungumza zungumza kuhusu Hamas sio Waislam wa Dunia yote usiwe kam hujaenda shule.

Mkuu,
Hamas is the devil at work. Tangu lini shetani akataka amani? Wako kutimiza masharti ya baba yao Ibilisi, jini mkuu na mwanzilishi wa uislamu.
na wewe rmashaur acha Matusi yako ya ki aina aina wewe kwa akili zako unamfuata Paulo aliyekataa watu wasikate Magovi yao? Je wewe umekata Suna?

Unajua ni contadiction, unataka kukaa na mtu mezani ambaye unadai hastahili kuwepo duniani, unapanga kummaliza siku zote!
na wewe Buchanan ulianzisha hii topic jaribu kuzungumzia suala la Hamas sio kuleta maneno yako ya Utumbo, unakuwa kam hujaenda shule?

Don't you think you are inviting the wrath of moslems?
Don't you think you are inviting the wrath of Christianity ?
The truth is one and is indivisible!


Tehetehetehetehetehetehe ,
Mkuu tulishawazoea hao watu.
Nyinyi akina ( rmashauri) tumesha wazoea na Chuki zenu juu ya Uislam Tehetehetehetehetehetehe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…