mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Leo nimekwenda kitoa hela kwa wakala.kwenye simu kulikuwa na15,000.nikaangalia viwango vya kutoa fedha.nikitoa 13,500,watakata 1,250,cha ajabu nilipotoa tu hela wamekata 1,300,hapo nishaibiwa sh 50,wamebakiza Sh 200,kwenye account yangu ambayo hainunui hata salio.naamia air tel money.wezi wakubwa ninyi tigo.kwa heriniii