Sitta aanza safari ya kuingia CHADEMA?

 
Mimi bado naiota combination ya sitta na Dr Slaa mmoja rais mwingine PM.Tanzania tutapaa!

Pole!Sita usimweke kundi moja na slaa!Unaweza kuonesha au kutuambia kitu cha kizalendo kinacholenga kuokoa mali za taifa kimeanzishwa na sita binafsi!
Sina geresha angalia alivomwacha solemba mpendazoe
 
6 nae mnafiki tu rejeen kwenye kumbukumbu za bunge alimpinga zto na kambi ya upinzan akisema n wanafki kwenye kupinga posho
 
Inawezakana i kawa kweli maana Gazeti la mwanahalisi la leo wamesema hili ingawa hawajataja jina la waziri
 
6 aongee na mwenyekiti wa CCM K mh. fahami dovutwa ili waone namna gani atamwachia kiti 2015, chadema tumekamilika, magamba yabaki magambani, kama kwenda cdm angeenda kwa kuona ufisadi wa ccm na sio baada ya kuona EL anakuja juu.
 

Kwani Mashoga wameruhusiwa kufanya kazi zao Tanzania?
 
Hizi porojo zinaenezwa na kundi la mafisadi ndani ya CCM likiongozwa na Lowassa na Chenge, na wafuasi wao kama mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga, Mgeja. Habari za kupikwa za Sitta kuhamia CHADEMA pia zilichapishwa na MwanaHALISI wiki hii kwa kichwa cha habari "Waziri wa JK kumkimbia Lowassa." Inajulikana wazi kuwa Saeed Kubenea wa MwanaHALISI amenunuliwa na Lowassa na Rostam na amekuwa akiandika habari kwa maelekezo yao.

Kundi la kina Lowassa ndio limeibua yuhuma kuwa Sitta na Nape ni waanzilishi wa CCJ. Yote haya ni kujaribu kuleta vurugu ndani ya CCM ili dhana ya kujivua gamba ishindikane. Wanataka kuwachanganya wajumbe wa NEC na uongozi wa CCM kuwa kila mtu ana tuhuma ndani ya CCM eti wakidhani hiyo itawaokoa wao mafisadi guberi kina Lowassa na Chenge wasifukuzwe.
 
 
Mh Baba Riz ameshaliona hilo ndo maana anataka kumpa stroke EL ili ang'atuke jumla. Akitoka EL lazima Sitta atabaki kwenye Magamba. 6 ndo mtaji wa magamba uliobaki kwa sasa.
 
Sitta na wenzake hawana nguvu ya kupambana na shupavu EL
 
 
Another Augustime Mrema in the making.
 

Wacha porojo! data za Sitta kuanzisha CCJ hazikuibuliwa na hilo kundi. Waanzilishi wenyewe wa CCJ walianza kuumbuana baada ya kusalitiana. Sitta ni mnafiki alikuwa kiungp kikuu CCJ na kuanzishwa kwake, alipopima upepo na iliposhondwa kupata usajili na jamaa wa TISS kutibua mpango wao akaingia mitini! yule ni kinyonga na ni chui ndani ya ngozi ya kondoo! CDM sidhani kama wanaweza kumpokea Sitta kwani ni opportunist na mnafiki! CDM watakuwa wamesahau alivyowatenda alipokuwa Spika? Kuanzia list of shame ya Dr. Slaa na EPA, Sitta alimponda Slaa na kusema amewasilisha nyaraka feki na atampeleka mahakamani, umesahau? anyway, yapo mengi lkn kwa unafiki wake sina hakika kama CDM watafanya kosa hilo.
 

Mkuu nashukuru sana kwa kuweka hiyo statement juu kabisa maana imenifanya ni Abort stori nzima na kunisaidia kureserve energy katika thread muhimu zaidi. Next time ukitunga stori jaribu kuipa uhalisia basi maana haiingii akili mkoa wa Arusha kuwa katika vurugu unamharibia EL kwani yeye ni nani hasa katika kuuongoza mkoa huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…