wa kanisani. Wa mwanza she was not my type, though nayeye alikua mzur
Hongera sana, secret services guy. Na asante kwa feedback, ujue nini. Mimi ninaamini hii kitu ya JF hasa kwakuwa 2 serious people who knows what they want go out and ask for it; tofauti na mitaani unapomvizia dada; unaanza kumuimbisha story ya urafiki mpaka uchumba wakati huenda mmoja wenu sio malengo yako. Ad inafaa zaidi katika kujenga commitment kuliko ya kuonana na mtu hiyo huvuta matamanio (attraction) zaidi kuliko commitment.
Hongereni sana nawatakia kila la heri.
mi nilikupiga sana madongo mdogo wangu!
umemek it?haya kila la kheri my dear !
Wow! congratulation! Kidotulotokordwak , hii itawapa moyo wale ambao hawaamini, ingekuwa hapa Dar kwa kweli ningekuja kushuhudia , pale kanisani wakati mnaapa.
Duh! interesting story. ,
ni kweli unayosema ila kwa miez 5 yote nimejaribu kufuatilia historia yake kwa kuanza na alipozaliwa, aliposoma,aliyemlea, ndugu jamaa na marafik thus why tumefikia hatua hii
mnh hongera,sie wengine tunaamini kwanza lazima kuwe na physical attraction atii,...... hiii ya kubebana sababu ya majukumu fulani ndio inayoleta kuchokana baada ya hayo mambo kukamilika.............,natumaini na yeye yuko attracted na wewe kama ulivyo wewe,sio kesho anakuja na mada nimemchoka mume wangu lol all the best
Name ntatoa tangazo soon, ngoja niendelee kujipanga!
tangazo la nini mkuu?
Na yeye amepata nafasi ya kukufatilia? isije ikawa kwa vile wewe una 'access' na yeye hana sana basi yeye anakuwa hakufahamu vizuri!
la kutafuta mchumba....
Sijakupata Mkuu, nashindwa kukupongeza, naona kama umeamua kutuchezea shere vile!Nimekuja kutoa shukran kwa jf coz mwez 2 tunataraj kufunga harusi kubwa katika jiji la arusha. Karibu sana kama ni member wa jf,venue itakua ni kibo palace. Wote mliokua mnabisha ni muda wa kuja kushuhudia jf inavyafanya kaz.
Jf is the best place to be.
du mkuu ww nouma, sijajua nn lengo lako:-Sijakupata Mkuu, nashindwa kukupongeza, naona kama umeamua kutuchezea shere vile!
Tutajie taehe rasmi ya hiyo ndoa, umesema mwezi wa pili bila kutaja tarehe, naamini hapo Kibo Palace hufanyika harusi nyingi! Sasa tutajuaje we yako inafanyika lini.
Ukifafanua hili nitakupa pongezi, kwa sasa natoa shilingi yangu!!