Sitaki na sitakaa niamini Claudio Bravo na kipa bora kuliko Joe Hart..

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Baada ya Pep Guardiola kuja Mancity alimsajili aliyekua kipa wa Barcelona Claudio Bravo na kumtoa kwa mkopo kipa aliyekua chaguo la kwanza na Kipenzi cha Waingereza Joe hart kwenda Torino ya Italy.
Kigezo cha pep Guardiola ni kwamba kipa ni mchezaji wa 11 uwanjani hivyo ni lazima kipa Ajue kutoa pasi kwa wachezaji wake na aliona Bravo ndo anaweza Falsafa zake.
Ila ligi ikiwa katikati tiyari bravo keshafungwa goli nyingi na kuna tetesi Joe hart kurud January pale Etihad.

Hart alikua na Mapungufu yake ya kurekebishika na Pia Bravo naye anamapungufu yake ila kwangu Hart ni Bora zaidi kuliko Bravo.

Maoni yanakaribishwa...
 
Hata mm naamin hivo

Hart kumfunga ni ngumu , ila bravo ni pazia

Binafs huwa hart akiwa golin nuamin, kwa bravo hata timu za chin zinamtungua muda wowote


Pale barca alifichwa na uwezo wa kikosi
 
Guardiola anachotaka yeye ni kipa wa kutoa pasi kwa haraka
na kipa alemtaka sio Bravo
alimtaka Stergen ....Barca wakakataa kumtoa
ndio akamchukua Bravo

Barca waliamua kuwa Stergen ndo atakuwa namba moja season hii
Bravo awe no 2..Bravo akakataa ndo Gardiola akamchukua..
 
Bravo ni mweupe. Kila mtu ndani ya City anajua hivyo including Pep mwenyewe sema tu anakomaa kujustify maamuzi yake.

Same applies to Man Utd. Pogba na Zlatab hawapo njema kiviiile ila lazima wacheze tu ili maamuzi ya kuwaleta yaonekane yalikuwa sahihi sana. Ni makocha wachache sana wanaoweza kuswalllow pride yao
 
Leicester City vs Manchester City
Score: 1 - 0
Min: 3
Goal!! Jamie Vardy
right footed shot

Assist by: Islam Slimani, Leicester City
Leicester 2-0 man c

Waiter niongezeeeeee
 
bravo ndio nani lile shuka la man city halina tofauti na pazia la liver wakuitwa karius akaachwa bench mignolet aka kidevu
 
Leicester City vs Manchester City
Score: 1 - 0
Min: 3
Goal!! Jamie Vardy
right footed shot

Assist by: Islam Slimani, Leicester City
Leicester 2-0 man c

Waiter niongezeeeeee
Duuh, bravo yupo golini.

Acha tupige monde tu
 
Leicester City vs Manchester City
Score: 3 - 0
Min: 20
Goal!! Jamie Vardy
right footed shot

Assist by: Riyad Mahrez, Leicester City

Muhudumu zungusha hukuuuu
 
Bravo ni mweupe. Kila mtu ndani ya City anajua hivyo including Pep mwenyewe sema tu anakomaa kujustify maamuzi yake.

Same applies to Man Utd. Pogba na Zlatab hawapo njema kiviiile ila lazima wacheze tu ili maamuzi ya kuwaleta yaonekane yalikuwa sahihi sana. Ni makocha wachache sana wanaoweza kuswalllow pride yao
Zlatan ana miaka 35, ana goli 13, amepiga mashuti zaidi 80 golini. Je! Hao vijana wamejaribu hata kidogo?! Acha unazi!

Pogba ni mchezaji mzuri mno. Timu ikipata viungo wakabaji na beki imara utaona atakavyocheza.
 
Guadiola hataki mtu awe mfalme kwenye timu,
Alipo kuja Man city alikuta ufalme wa Yaya na Hart kitu ambacho hawezi kukubaliana nacho. Guadiola anataka yeye ndo awe mkuu na bila kuhoji atakachokwambia. Aliamua kuvunja ufalme huo kwa kuwaondoa hao.
Hart aliyekuwa namba moja kwenye klabu na taifa lake.
Yaya aliye kuwa sub captain wa klabu na aliye kuwa dominant wa namba yake klabuni hapo
 
Guadiola hataki mtu awe mfalme kwenye timu,
Alipo kuja Man city alikuta ufalme wa Yaya na Hart kitu ambacho hawezi kukubaliana nacho. Guadiola anataka yeye ndo awe mkuu na bila kuhoji atakachokwambia. Aliamua kuvunja ufalme huo kwa kuwaondoa hao.
Hart aliyekuwa namba moja kwenye klabu na taifa lake.
Yaya aliye kuwa sub captain wa klabu na aliye kuwa dominant wa namba yake klabuni hapo
Hart kwangu mm ni kipa bora dat why kipind anaaga waingereza walilia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom