Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Kuna tetesi kuwa siri ya matusi bungeni ni mkakati maalum wa kuzima hoja nyeti hasa kuhusu uozo wa bajeti ya mwaka huu na kubaki kubishana katika mambo yasiyo na tija kwa taifa.
Kuna tetesi kuwa siri ya matusi bungeni ni mkakati maalum wa kuzima hoja nyeti hasa kuhusu uozo wa bajeti ya mwaka huu na kubaki kubishana katika mambo yasiyo na tija kwa taifa.
Hapana aisee, inaudhi enzi za silaa hatukuua na spika oovyo kiasi hiki ndo maana hali ilikua tulivu, Hivi wazee mnasikiliza bunge kweli au ni ushabiki tu usio na msingi?
Kuna mada mpaka aibuu, ile 29 billioni ya inovation imeniuma sana, and Mhe Mnyika anajaribu kuwaelimisha kwa calmness kubwa on better ways to use that large amount anaishia kuzomewa, kweli kwa nini watu wasikisirike kwa naiaba yetu watanzania
acheni ushabiki wakipuuzi bwana , think of ur country aaahh sana
Kuna tetesi kuwa siri ya matusi bungeni ni mkakati maalum wa kuzima hoja nyeti hasa kuhusu uozo wa bajeti ya mwaka huu na kubaki kubishana katika mambo yasiyo na tija kwa taifa.