Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Qn of sheba nakuomba tena heshima ifuate mkondo wake .... Nakuomba kwa mara nyingine "" futa kauli yako"
huwezi niita mimi dogo .. Hunijui wala sikujui ... Na wala cheti changu cha kuzaliwa huna...na maana ya kunuita mtu dogo sijui kama unaifahamu ..
Nakuomba futa kauli .. qn of sheba.
 
Last edited by a moderator:

bora wewe unamawazo mazuri sio kujibu kwa jazba big up.
 
kama na wewe una masters kweli basi elimu ya nchi hii ni majanga kwani unachoandika ni sawa na mawazo ya mtoto wa darasa la saba.

Mtu mwenye elimu iliyomkomboa hawezi kuwa kama wewe.

Wewe mwenye Phd umeandika nini cha maana humu au inaleta ushabiki humu, ebu nipishe.
 

Kwani tupo bungeni hapa basi nawewe acha kunitajataja kwenye comments zako.
 
Last edited by a moderator:
Wewe mwenye Phd umeandika nini cha maana humu au inaleta ushabiki humu, ebu nipishe.

Kama masters ndio inakutuma kujisifu kuwa una div 1,una masters na kuona vyuo vingine si lolote basi wewe ni majanga.

Wapo watu waliosoma vyuo hivyo unavyoviona takataka na wapo mbali kukushinda wewe na hiyo masters yako.

BADILIKA DADA!!!!!!!
 
kwani tupo bungeni hapa basi nawewe acha kunitajataja kwenye comments zako.

mm nimrkutaja id yako na sijakutungua jina ..na nimekutaja kuihitaji ww qn of sheba uliiniita mm dogo ,kukutaka ufute kauli yako ..

Pleasee nakuomba kwa mara ya tatu futa kauli yako.
 
Wewe ni hewa kweli na ndo maana tunakuvuta chalii angu masters kitu gani weweee mbona acha mambo ya kukurupa masters kwenye makaratasi.Masters bongo???????????????? Au ya kukaririshwa tu???? Be careful man:embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2:
 

Sasa we inakuuma au ebu ondoa povu lako hapa. Ikikuuma rudi shule kasome.
 
Acha kuwa kidakia ushuzi nmekujibu wewe na kuuliza mbona unaonekana kupenda kujibizana sanaa arifu.:tape:
 

unajua Mandela una matatizo au unavuta?
mm nilishakua Kiongozi wa Saccos na hunijui utaniitaje akili zangu haziko sawaau ninaishi Nchi jirani

Hii thread uliyoianzisha hukujua km ina majibu yake ? au hukujua km kuna waliosomea hapo na wakaendelea kwingine na maisha pia?
mbona toka mwanzo unajipinga na hivi sasa ziko wapi Reputation za mwanaushirika km unavyomjibu huyo Member mwenzako?
Wewe umekisifia hicho Chui chetu sawa hukuweka mapungufu
sisi tumekuambia UMETUMWA kuki PROMOT na mbwembwe nyingiii na blahblah nyingi
sasa mbona ukiitwa dogo unakuja juu kuutishia vitisho km ndio Moderator
mm nimrkutaja id yako na sijakutungua jina ..na nimekutaja kuihitaji ww qn of sheba uliiniita mm dogo ,kukutaka ufute kauli yako ..
Pleasee nakuomba kwa mara ya tatu futa kauli yako.
Dogo usitishie watu kwa Elimu yako soma umalize ukatafute kazi ndio utaona chungu ya jiwe lkn kuwaita wenzako hawana akili
halafu ww unayesema SACCOS zinakufa kweli akili yako haiko sawa..
Kama umekosa point waambie Mods waifunge thread yako tusione matusi yako maana umechoka sasa unaanza kutoa vitisho ambavyo tukikujibu ni kujitafutia BAN
Kapumzike DOGO
kabla hatu
 

Mwache huyo Mandela anamatatizo sana akikua ataacha.
 
Last edited by a moderator:

hatutaku kujua wasifu wako hapa ... ufa ye kazi SACCOS au wap hayo ni yako na wanaikuzunguka ..

akili kutokua sawa = na mtu -------- .. mpumvavu sio tusi .

unajua maana ya neno ... DOGO.. au uliiongea tuu

NAKUOMBA FUTA KAULI AU NIPE MAANA YA NENO ''' DOGO '"

KUA NA HESHIMA ,NIDHAMU NA ADABU ... JIBU KITU KWA UMAKINI.

FUTA KAULI
 
Hapo ndio unamalizia sifa za wana-Muccobs
Kweli mmesoma na mnataka mjilinganishe na University za Tanzania?
Mada nzima ni UONGO mtupu, hamujielewi mmejaa kiburi kuliko College nyingine bora hata ya enzi zile ZETU za CHUO CHA USHIRIKA -MOSHI

haya nakutakia masomo mema hapo Muccobs usijekosa kazi kwa ajili ya kushinda JF ukatulaum
maana Makao Makuu ya Idara ya Ushirika, kiWizara na Kamishana wako wako hapa Dodoma msalimie Principle wako kwa kumPROMO tumewasikia
 
hahhahhaahaha wewe unaota mchana wewe hicho chuo kinajilikana hapo tu na kilometa chache kutoka hapo hahhhahhah wanafunzi wanaotoka hapo tunakutana nao huku job cv mbovuuuu

WEWE UNAYEBISHA CHUKUA MUDA WA KUTAFAKARI NA KUFUATILIA TAKWIMU VYUO VINGI NCHINI KWA KUTOA RIGHT MATERIALS VIMEBAKI NA MAJINA MAKUBWA TU....INSIDE HAKUNA KITU.......KAMA UNABISHA NENDA SEHEMU/SECTOR ZIFUATAZO UTAPATA MAJIBU:

1. KAANGALIE REOCRDS ZA BODI YA UHASIBU NA UKAGUZI KWA UFAULU-UTAPATA MAJIBU

2. NENDA KWENYE SECTOR ZA MAENDELEO YA JAMII UTAONA PRODUCTS ZA MUCCOBS ZINAVYOGOMBANIWA

3. NENDA KWEMYE BODI YA UGAVI NA MANUNUZI UKAPATE MAJIBU YA MITIHANI

4. NENDA KWENYE TAASISI ZA KUBWA NA NDOGO ZA KIFEDHA (MICRO & MACRO FINANCE INSTITUTIONS)

4. MWISHO LAKINI SIYO MWISHO WA YOTE NENDA KATIKA SEKTA ZA KIBENK HASA UPANDE WA MICRO-FINANCE UTAPATA MAJIBU

HOJA KUWA WATU WANAOENDA MUCCOBS NI DIV 3 NI SWALA LA KUWAULIZA TCU NI KWANINI WANAKUJA WATU HAO JAPO KWA PASSMARK ZA TZ WANAQUALIFY NA SIYO HIVYO PIA ELEWA KUWA HATA KAMA UNAWADHARAU WANAOKUJA MUCCOBS KWAMBA NI FAILURES JUA KWAMBA MUCCOBS NI "GABAGE IN PURITY OUT & not PURITY IN GABAGE OUT KAMA VYUO VINGINE"----WAKIINGIA NA DIV 3 KWA KADIRI YAKO WANATOKA BEST STUDENTS KWENYE MASOMO NA UTENDAJI WA KAZI....!!
 
Nadhani lengo lilikuwa kuanzisha tu ubishani wala sio vinginevyo. Hope hilo lengo limetimia na sasa tupige kazi na kuachana na hizi biashara za kizamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…