Omuchimati
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 427
- 202
Dhana ya usaliti ukianzisha haikuachi kamwe labda siku ukiamua kutubu, Seif alimsaliti mzee Jumbe, laana ya usaliti itamwandama mpaka siku atakapoingia kaburini.Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.
Tena hata hao 14 nina wasiwasi nao,huyu alitakiwa apate zero kabisa. Lipumba anatumiwa na lumumba, mission failedYaani 98% kwa 2% bado tunaleta majungu tena? 446 kwa 14 bado haitoshi tunendekeza majungu
NonsenseKisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.
Fitina zenyee hawawezi kuzipanga kizuoni ili angalau zioneshe uhalisia! wanaandika vitu hata mtoto wa darasa la pili anawezakugundua kama ni uongo!!!!!!Vijana wa ccm kama hamna kazi si muende geza ulole mkalime
Kuliko kupiga fitina hovyo hovyo
acha hizo Lipumba njaa ndiyo unamsumbua ile Pesa aliyopewa na Membe akatoroka imeisha sasa kaja na mladi wa kula Pesa za CCM kisha kwenda CUF kuvuruga chama hana lolote wala hana nguvu ndani ya CUF labda awanunue wanachama Kwa Pesa aliyopewa juzi .Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.
Acha uongo. Unapata faida gani?CCM IMARISHENI CHAMA CHENU, MAANA HUKU NINAKOISHI, KILOMITA 600 TOKA DSM,MIKUTANO YA CUF, NGAZI YA WILAYA, INAHUDHURIWA NA WATU WASIOPUNGUA MIA TANO, WAKATI ILE YA CCM INAKUWA NA WATU WASIOZIDI MIA MOJA.
TOFAUTI NYINGINE NI KUWA HAO MIA MOJA WA CCM WANALETWA TOKA VIJIJINI KWA MAGARI ( labda kwa kuwa CCM ni matajiri) WAKATI WALE WA CUF WANAFIKA KWA MIGUU.
Chama cha siasa hakiwezi kuvutia watu kwa kutegemea Jeshi la Polisi na mbinu za kumpandikiza Profesa Lipumba katika nafasi ya uongozi.
Lipumba kichwani hana Taaluma ni profeselii yupo Kama profesa maji marefu , Dili zake za siasa ni za kishamba sana , kageuka kuwa Dalali wa siasa anakula Pesa Kwa kazi ya kuvuruga Ukawa , njaa itamkondesha Safari hii , Lizabon kamgeuza mladi anamchochea wanachukua Pesa za CCM Kisha wanagawanaFitina zenyee hawawezi kuzipanga kizuoni ili angalau zioneshe uhalisia! wanaandika vitu hata mtoto wa darasa la pili anawezakugundua kama ni uongo!!!!!!
CUF ndiyo walikula Pesa za Chenji ya Rada, bunge la katiba, ATC , NSSF , NIDA , Escrow, na miladi ya CCM hata ile ya umoja wa vijana wa CCM ? Ufisadi upi upo CUF ? Lipumba ndiyo fisadi alichukua Dola milion 1.5 toka kwa Membe akakimbilia Rwanda kununua nyumba ili afuge kikundi cha vurugu huko .Hehehe CUF
Kujiunga na kikundi cha mafisadi na wasaka Tonge hapo ndio mwanzo wa matatizo
Lipumba sasa kichwani kajaa Pumba ni bora wamshauri aanzishe chama cha Pumba atawapata wapenda Pumba wenzake.LIPUMBA PANDIKIZI, WANGELIFUTA UWANACHAMA WA CUF
Uchaguzi wa mashaka huo, sasa hao watu 14 ndio wamevunja mkutano mkuu wa uchaguzi?Story za kutunga hizi.
Lipumba out officially kapata kura 14 tu kati ya kura mia nne na ushee.