Kazi ya mwanamke si kumpenda mwanaume bali kazi yake ni kumtii mwanaume so ww umetambua majukumu yako bahati mbaya wanawake wenzio wanafanya kazi ambayo si yao ya kumpenda mwanaume wakati kazi ya kupenda ktk mahusiano ni kazi ya mwanaume ndio maana siwez shangaa wanawake weng wakiimba nyimbo za Aslay - likizo