jitu la kale
Member
- Dec 29, 2010
- 77
- 18
Jaman serikali hii ya ccm haiweze tena kulipa mshahara kwa wakati maana mshahara wa mwezi wa tano tulilipwa mwezi wa sita tarehe 11,wa mwezi huu hata haijulikani lini maana mwajiri wetu anadai hela hazijatumwa toka azina kuu maana hakuna kabisa,zilikuwa ndogo zikapelekwa baadhi ya mikoa na zikaisha.Hivyo kwa Mwanza tusubili labda wakope kope sehemu ndo tutalipwa hivyo hivyo kwa mafungu.... Rai ambao hamna kazi msitukane plz maana nitawapeleka mahakaman kama P.M..MIA