Sema tena sijasikia....huogopi kufanywa nini????????????
Ungekuwa jirani na Pinda angekuchapa kofi la kukosa uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility).
hata daudi balali alisema haogopi kufa lakini amekufa, vivyo hivyo horice kolimba
Sema tena sijasikia....huogopi kufanywa nini????????????
Ungekuwa jirani na Pinda angekuchapa kofi la kukosa uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility).
Sema tena sijasikia....huogopi kufanywa nini????????????
Ungekuwa jirani na Pinda angekuchapa kofi la kukosa uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility).
Hata DAUDI BALALI alisema haogopi kufa lakini amekufa, vivyo hivyo HORICE KOLIMBA
huyu jamaa anafikiria 2015, usishangae 2014 akahamia cdm akagombania ubunge 2015 kwa ticket ya cdm, wabunge wengi ni ma hypocrites. Its always about them them and them and never their people..sasa huyu badala ya kutueleza nini atafanya kuhakikisha viongozi wanawajibishwa kila siku anasema yuko tayari kufa, well kufa atakufa tu siku moja hata asipokua tayari, acheni siasa za ajabu ajabu, watanzania wameamka sasa hivi mambo ya kuibiwa mchana kweupe na maneno yenu sasa hivi hamuambulii kitu
Huyu nayee (DAudi Balali) alikufa lini? Vikonjombe haogopi kufa vyovyote vile (kibalali balali au kikolimba!Hata DAUDI BALALI alisema haogopi kufa lakini amekufa, vivyo hivyo HORICE KOLIMBA
Point of correction hakuna uthibitisho wa kifo cha Daudi Balali zaidi ya kauli ya Serikali.
Kama una usingizi si ukalale tu....!Hata DAUDI BALALI alisema haogopi kufa lakini amekufa, vivyo hivyo HORICE KOLIMBA
Huyu Filikunjombe naye siyo msafi kihivyo. Alipewa rushwa na TCRA ili kuisafisha kutokana na hesabu zake zilizokuwa zimejaa ufisadi. Anyamaze kimya kabisaaa
ushauri wanu kwa kunjombe endapo rais atalivunja bunge aseme anawapatia vijana uwaziri na wewe ukaingia kichwa kichwa watakumwakyembe nawe uote mabaka mabaka na uvae gloves kama rooney awapo uwanjani na pama kama la micheal jackson kataa kabisa naona move hiyo wazee ccm wanataka wawangamize vijana wao wanaowaona viherehere shauri zako ukiingiwa na tamaakwa hali ilivyo sasa hakuna mtanzania atakaye endelea kuogopa ujinga wa kutishiwa kuuwawa..
Kwani tiyari watu wameshauwawa kimwili..