Sio kila mtu anafaa kuwa kocha, wengine wanafaa kuwa waokota mipira tu!!

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,115
Katika dunia hii Mungu katugawia vipaji mbali mbali ili dunia iwe sehem yenye furaha. Kuna wakat unaweza kuona jambo ambalo hukuwahi hata kufikiri maana Mungu katugawia vipaji tofauti. hivo hilo jambo jua limetendeka na mwingine kutegemea na kipaji chake. Na kamwe usilazimishe ufanane na fulani.

1: Sasa timu yetu naona tumemchukua mwokota mipira awe kocha wetu, kisa tu alikua shapu kuokota mipira wakati timu inaongozwa na kocha yuleee. TULIBUGHI MEN!!

2:Inawezekana vipi ukamchukue mwendesha mtumbwi awe nahodha wa meli? Kisa tu ana uzoefu baharini??
Utakua UMEBUGHI MEN!!

3: Unamchukua sisonje awe mkuu wa umoja wa mataifa ataongea nini mbele ya wale watu yaan nasema wale watu, kama hajaanza kutaja idadi ya madaraja duniani tena kwa kilugha!! Utakua UMEBUGHI MEN!

4: Unamsajili Diamond awe mchezaji simba sports club kisa tu anajua kukata viuno jukwaan na anamashabiki wengi, Kuna kitu utapata kweli?? Utakua UMEBUGHI MEN

5: Kamwe usijaribu kumchukua mlinzi wa club awe Dactar hospitalini ataua watu maana hajazoea kubembeleza japo nae huokoa watu wasiuane kwa kupigana .Utakua UMEBUGHI MEN!

MAJUTO
2015 watanzania TULIBUGHI MA MEN , mwokota mipira tumempa ukocha, hatukuona hata waliokua benchi la ufundi japo nao wasingefaa lakn ingekua afadhari maana mbinu wanazijua japo kidogo.
 
Naona umeamua kujitoa muhanga....ole wako akukamate utaenda kufichwa mafia mpaka ndugu zako wajue ulipofichwa ili angalau wakuletee vimatunda huko utakuwa hakuna Rangi hujaona.
 
Katika dunia hii Mungu katugawia vipaji mbali mbali ili dunia iwe sehem yenye furaha. Kuna wakat unaweza kuona jambo ambalo hukuwahi hata kufikiri maana Mungu katugawia vipaji tofauti. hivo hilo jambo jua limetendeka na mwingine kutegemea na kipaji chake. Na kamwe usilazimishe ufanane na fulani.

1: Sasa timu yetu naona tumemchukua mwokota mipira awe kocha wetu, kisa tu alikua shapu kuokota mipira wakati timu inaongozwa na kocha yuleee. TULIBUGHI MEN!!

2:Inawezekana vipi ukamchukue mwendesha mtumbwi awe nahodha wa meli? Kisa tu ana uzoefu baharini??
Utakua UMEBUGHI MEN!!

3: Unamchukua sisonje awe mkuu wa umoja wa mataifa ataongea nini mbele ya wale watu yaan nasema wale watu, kama hajaanza kutaja idadi ya madaraja duniani tena kwa kilugha!! Utakua UMEBUGHI MEN!

4: Unamsajili Diamond awe mchezaji simba sports club kisa tu anajua kukata viuno jukwaan na anamashabiki wengi, Kuna kitu utapata kweli?? Utakua UMEBUGHI MEN

5: Kamwe usijaribu kumchukua mlinzi wa club awe Dactar hospitalini ataua watu maana hajazoea kubembeleza japo nae huokoa watu wasiuane kwa kupigana .Utakua UMEBUGHI MEN!

MAJUTO
2015 watanzania TULIBUGHI MA MEN , mwokota mipira tumempa ukocha, hatukuona hata waliokua benchi la ufundi japo nao wasingefaa lakn ingekua afadhari maana mbinu wanazijua japo kidogo.
Mkuu choice yetu ya pili alikuwa ni yule ambaye speech zinatumia chini ya dakika tano tu, halafu network inakata.

Halafu huyooo anaelekea kwenye mlango wenye maandishi makubwa WANAUME.

Hakukuwa na suluhisho jingine zaidi ya mtaalam wa pushup za kwenye steji ya mbao.
 
Mbaya zaidi tumechukua muokota mipira Mlevi wa POMBE kuwa kocha wa timu yetu, kwa hiyo anaropoka kauli za hovyo hovyo tu kama muhuni wa mtaani
 
Mkuu choice yetu ya pili alikuwa ni yule ambaye speech zinatumia chini ya dakika tano tu, halafu network inakata.

Halafu huyooo anaelekea kwenye mlango wenye maandishi makubwa WANAUME.

Hakukuwa na suluhisho jingine zaidi ya mtaalam wa pushup za kwenye steji ya mbao.
Sasa ndiyo anaonyesha maana yazile push up
 
Sasa ndiyo anaonyesha maana yazile push up
Alisema ataziba mianya ya upigaji. Kwa hiyo pushup na usomaji wa namba ni mambo yaliyotarajiwa.

Dondosha noti ya elfu kumi mtaani kwa sasa, uone ni kwa jinsi gani watu wanavyozisoma namba za kirumi.
 
Alisema ataziba mianya ya upigaji. Kwa hiyo pushup na usomaji wa namba ni mambo yaliyotarajiwa.

Dondosha noti ya elfu kumi mtaani kwa sasa, uone ni kwa jinsi gani watu wanavyozisoma namba za kirumi.
Unauhakika hakuna upigaji? Siku zote kama mtoto hataki kuhojiwa jua kuna shida nyuma yake
 
Unauhakika hakuna upigaji? Siku zote kama mtoto hataki kuhojiwa jua kuna shida nyuma yake
Mkuu haipo nchini duniani isiyo na upigaji, lakini kumbuka kuwa 2006 mwaka mmoja baada ya awamu ya nne kuanza tukaisikia kashfa ya EPA, ikafuatia Richmond.
Tangu october 2015 umeisha isikia kashfa nyingine ya viwango vya hizo mbili nilizozitaja?.
 
Katika dunia hii Mungu katugawia vipaji mbali mbali ili dunia iwe sehem yenye furaha. Kuna wakat unaweza kuona jambo ambalo hukuwahi hata kufikiri maana Mungu katugawia vipaji tofauti. hivo hilo jambo jua limetendeka na mwingine kutegemea na kipaji chake. Na kamwe usilazimishe ufanane na fulani.

1: Sasa timu yetu naona tumemchukua mwokota mipira awe kocha wetu, kisa tu alikua shapu kuokota mipira wakati timu inaongozwa na kocha yuleee. TULIBUGHI MEN!!

2:Inawezekana vipi ukamchukue mwendesha mtumbwi awe nahodha wa meli? Kisa tu ana uzoefu baharini??
Utakua UMEBUGHI MEN!!

3: Unamchukua sisonje awe mkuu wa umoja wa mataifa ataongea nini mbele ya wale watu yaan nasema wale watu, kama hajaanza kutaja idadi ya madaraja duniani tena kwa kilugha!! Utakua UMEBUGHI MEN!

4: Unamsajili Diamond awe mchezaji simba sports club kisa tu anajua kukata viuno jukwaan na anamashabiki wengi, Kuna kitu utapata kweli?? Utakua UMEBUGHI MEN

5: Kamwe usijaribu kumchukua mlinzi wa club awe Dactar hospitalini ataua watu maana hajazoea kubembeleza japo nae huokoa watu wasiuane kwa kupigana .Utakua UMEBUGHI MEN!

MAJUTO
2015 watanzania TULIBUGHI MA MEN , mwokota mipira tumempa ukocha, hatukuona hata waliokua benchi la ufundi japo nao wasingefaa lakn ingekua afadhari maana mbinu wanazijua japo kidogo.
Yaani hata muokota mpira some time anakuwa ana akili, lakini huyu ni kavamia game mpira kupiga na kichwa anapiga na mguu, matokeo yake kavunjika kiuno mapema dakika ya 35 tu.
 
Wapigaji na mafisadi mnanyooshwa hatuna cha bure siku hizi mlizoea kupiga hakuna tena.
 
Naona nchamaki nchanga kaamua kusawazisha mambo baada ya yule jamaake wa geita kuharibu.
Serikali haina shamba, njaa mimi nije nikupikie hhaaha
Kisha Dom linatoka tamko nchi haijakumbwa na baa la njaa, serikali imeamua kutoa tani milioni 1.5 kusaidia maeneo yenye njaa. Which is which now? Waokota mipira wako kazini
 
Tena siyo tu tuliyempa dhamana ni muokota mipira ya kawaida bali ni ile mipira ya chandimu!
 
Mkuu haipo nchini duniani isiyo na upigaji, lakini kumbuka kuwa 2006 mwaka mmoja baada ya awamu ya nne kuanza tukaisikia kashfa ya EPA, ikafuatia Richmond.
Tangu october 2015 umeisha isikia kashfa nyingine ya viwango vya hizo mbili nilizozitaja?.
Huwezi kuisikia sababu hakuna uhuru wa kusema...wanaosema wanapotezwa uraiani...waliopo uraiani wana hofu ya kusema...
Kamwe usitarajie kusikia scandal yoyote.
 
Huwezi kuisikia sababu hakuna uhuru wa kusema...wanaosema wanapotezwa uraiani...waliopo uraiani wana hofu ya kusema...
Kamwe usitarajie kusikia scandal yoyote.
TAKUKURU wapo kazini kwa kasi ya kutisha sana. Makaburi hayafukuliwi na hakuna tena scandals za kuyatengeneza mengine mapya.
 
Katika dunia hii Mungu katugawia vipaji mbali mbali ili dunia iwe sehem yenye furaha. Kuna wakat unaweza kuona jambo ambalo hukuwahi hata kufikiri maana Mungu katugawia vipaji tofauti. hivo hilo jambo jua limetendeka na mwingine kutegemea na kipaji chake. Na kamwe usilazimishe ufanane na fulani.

1: Sasa timu yetu naona tumemchukua mwokota mipira awe kocha wetu, kisa tu alikua shapu kuokota mipira wakati timu inaongozwa na kocha yuleee. TULIBUGHI MEN!!

2:Inawezekana vipi ukamchukue mwendesha mtumbwi awe nahodha wa meli? Kisa tu ana uzoefu baharini??
Utakua UMEBUGHI MEN!!

3: Unamchukua sisonje awe mkuu wa umoja wa mataifa ataongea nini mbele ya wale watu yaan nasema wale watu, kama hajaanza kutaja idadi ya madaraja duniani tena kwa kilugha!! Utakua UMEBUGHI MEN!

4: Unamsajili Diamond awe mchezaji simba sports club kisa tu anajua kukata viuno jukwaan na anamashabiki wengi, Kuna kitu utapata kweli?? Utakua UMEBUGHI MEN

5: Kamwe usijaribu kumchukua mlinzi wa club awe Dactar hospitalini ataua watu maana hajazoea kubembeleza japo nae huokoa watu wasiuane kwa kupigana .Utakua UMEBUGHI MEN!

MAJUTO
2015 watanzania TULIBUGHI MA MEN , mwokota mipira tumempa ukocha, hatukuona hata waliokua benchi la ufundi japo nao wasingefaa lakn ingekua afadhari maana mbinu wanazijua japo kidogo.
Anayofanya Magufuli anatekeleza sera za chadema ---- ------ Sumaye
 
Back
Top Bottom