Mim pia nipo singleHahaha
Uzi tutadanganyana huu hadi tutajuta.
Kila mtu atakuwa single hapa
Nakuaminia huwa ukosei
Namsaidia asiendelee kuwa single
Mtoto kakubali kabisa wakayajenge, bado jamaa anataka afuatwe. Nimeona atasubiri sana, namchangamsha.
Daby hajaniulza swali halafu
nilikusoma mkuu nikasema ngoja nikae pemben nione kifuatacho!
Dah... Usijichanganye... Kuna kuwa single na kuwa na "mtu/watu"Mmh sijui am single,married or divorced, poor me!
HahahaaMim pia nipo single
HahahaNakuaminia huwa ukosei!!!single or double??tukutafutie mpendwa ww!!!
nilitaka kuchafua hali ya hewa mkuu dah,hakuna dhambi kubwa kwa me kma hyo nilofanya!!!ila kanisamehe!!!
unaandika nn
Basi tuluke pamojaMi mwenyewe wanawake wameniacha, sisi ni ndege wafananao
Dah... Usijichanganye... Kuna kuwa single na kuwa na "mtu/watu"
Nko hapa babe mchepuko wanguMm nipo single kwa sababu miss blossom hanitaki
Sijui kajificha wapi huyu mtoto
Mm nipo single kwa sababu miss blossom hanitaki
Sijui kajificha wapi huyu mtoto