Hahahahaaice kumbe mi syo single bana kumbe na masponsor wpo kwny hesabu!!!
Wanaume wote wameniachaYaan upo single jaman khaaaa
sorry mkuu nilikufananisha na miss natafuta dah shushia hii single bro
Sawa mkuu.sorry mkuu nilikufananisha na miss natafuta dah shushia hii single bro
NakusubiriNakuja sasa Hvi
Bosi huyo si mtoto wa kikeNakusubiri
HahahhhhhHahaha
Uzi tutadanganyana huu hadi tutajuta.
Kila mtu atakuwa single hapa
Ushaanza mambo yko kma kuleBosi huyo si mtoto wa kike
Mfuate bhana.
Mpe ka value kdogo bas
hahahahhahahaZitakazo umia zaidi ni sehemu zetu za siri,
Ushaanza mambo yko kma kuledah we jamaa!!afu hujijib swali la daby
sorry mkuu nilikufananisha na miss natafuta dah shushia hii single bro
Mi mwenyewe wanawake wameniacha, sisi ni ndege wafananaoWanaume wote wameniacha