URAIS kaisha ugawa kwa FAMILIA na RAFIKI zake,na sasa hizi group mbili ndizo zinatufanyia maamuzi.Kuumbuka IKULU ndiyo wahusika wakuu,sasa wategemea kipi chemakitoke kwenye JUMBA bovu?Wajua JUMBA bovu lakaa akina nani...kuna vibaka,misheni town,wezi,majangili,madawa ya kulevya na majambazi,hivyo usitegemee MALAIKA atatoka huko.
Na kumbuka SERIKALI pia imebinafsihwa kwa Singasinga ,siumesikia akisimama na kuongea?Miti yote hutikisika na ndege wakakimbia kuepusha balaa...
Uliona wapi MUWEKEZAJI akafika MAHAKAMANI akasema NATAKA SUPIKA,AG na PM wote wakamatwe wawekwe ndani?Nguvu hii kaipata wapi kama hajabinafsishwa IKULU?:shock: