hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 832
- 335
- Thread starter
-
- #21
Mmmmh hebu badili mtizamo wako juu ya hilo na everthing ll be okey, ni bora uchelewe kuoa kuliko ukurupuke the uje ujutie maisha yote.
Hebu forcus kwanza kwenye kujijenga kiuchumi, kujiweka karibu na Mungu na usikurupuke kuanzisha mahusiano, wakati ukifika kila kitu kitakuwa poa, alafu tafuta size yako(mnayeendana)
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.
Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .
Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.
Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?
Vipi mkuu tangu ulipoweka hili tangazo ushapata viPM PM kama vingapi hivi vya wanaotaka ndoa?
kama tatizo ni nyota bonyeza #reli
Ama una kaubabe flani hivi?
Tatizo Nyotaaa ...lol
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.
Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .
Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.
Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?
Nakuuunga mkono na miguuu, wengine badala ya kumuona mtu km mwenzie yy humgeuza mdogo wake.
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.
Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .
Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.
Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?
tatizo lako upo desperate unataka ndoa mkuu...
tengeneza foundation ya mahusiano kwanza afu ndoa itafata.. umri haujalishi ndoa ni mikiki mikiki mkuu ko tafuta mtu anae match na wewe anzia step ya chin kabisa urafiki msome mtu afu ndo ivyo vya mapenzi vianze la si ivyo we utaangukia pua kila siku