Simuelewi Huyu Muhindi

Wasiwasi wako tu unatosha kukudhuru sana tu..dawa ni kuhama chumba haraka, either ana mambo ya uchawi au la..!!
 
Asante kwa wazo jipya mkuu lakini kwa sasa nishaondoka hotelini kwa kuwa hatua za mwanzo tumemalizana. Nikiuliza sasa nitakua kama najichanganya
 
cc mshana jr inakuhusu, mfafanulie Tape measure asije ingia mkenge, maana wanaweza kumuoa hivi hivi, hahaha utani tu
 
Dah
Hapo ni ushurikina kwa 100% mkuu.

Kuwa makini, ipo siku utanyofolewa kivuli ubaki unatembea kopo tu.

Dah inasikitisha sana Uchawi umetamalaki Tanzania kwa hawa ndugu zangu ndio usiseme.
 
Hakunaga kitu kama uchawi. Na kamwe sitaamini ukarogwa kweli ikakutokea
 
Nikichukuaga chumba huwa nawaambia wahudumu kwamba sihitaji usafi wa aina yeyote ile mpaka naondoka. Huwa nakagua chumba siku napoingia. Kila nikitoka huwa naacha viashiria ambavyo mtu akigusa tu nikirudi lazima nijue.
Kwa Tanzania ni sehemu chache wanayo hii option kwenye room zao wengi wanadhani mtu huwezi kuwazuia kuingia chumbani kwako just tu kwasababu wanatakiwa kufanya usafi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…