Simuelewi huyu msichana

Simuelewi huyu msichana

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Hali zenu vipi
Kuna demu nimependa sana na pia ni mrembo sana nilijaribu kumweleza but yeye anacheka tu na kuniulia nitaaminije ila anacheka tu.

Sasa yeye akiniona tu niko na manzi anakuja kunimaindi sana anakua na wivu but nimtongoza hatoi jibu.

Tatizo liko wapi kama huna ushauri pita hivi kejeli sitaki
 
huyo mfanyie supries mpeleke ghetto ila ucfanye makosa sas akikataa ujue mzugaji huyo katafute pesa
 
sasa unataka tukushauri nini.? Haiwezekani tushauri upande mmoja, mlete na huyo demu wako hapa jf na yeye atoe yake, hapo ndipo tutapata pakuanzia.

NB. Hujui kutongoza, unatongoza na kusubiri jibu ili iweje.. na demu ameshakujibu ataaminije kama unampenda... Love is not words only it need more actions.
 
Tatizo ni wewe, wanawake huwa hawasemi ndiyo nimekubali, huwa wanakuonyesha lugha ya mwiili au vitendo. Ukikua utajua tu.
 
Unasubiri jibu gani tena wakati akikuona na wasichana wengine anamaindi! Siku hizi hawasemi nimekubari, unatoa yako ya moyoni then kwa wakati wako unaendelea.
 
Hali yako vp
Kuna demu nimependa sana na pia ni mrembo sana nilijarbu kumweleza buti yy anacheka tu na kuniulia nitaaminije ila anacheka tu

sasa yy akiniona tu niko na manzi anakuja kunimaindi sana anakua na wivu but nimtongoza atoi answ
tatizo liko wapi kama huna ushauri pita iv kejeri sitaki

Nia yangu sio kukukejeli, lakini wewe unaonekana bado mtoto sana. Sasa ushauri wangu komaa na elimu haya mambo yasikupotezee muda wako, siku hazirudi nyuma.
 
Nia yangu sio kukukejeli, lakini wewe unaonekana bado mtoto sana. Sasa ushauri wangu komaa na elimu haya mambo yasikupotezee muda wako, siku hazirudi nyuma.

asante kwa ushauri nitaufanyia kazi
 
Jembe vipi bana? Yaani kusoma hujui na picha nayo huoni? Chukua hatua jembe tayari huyo ni wewe tuu aisee.
 
Unatongoza af unasubiri akwambie kakubali? Kucheka cheka na kuonesha wivu ni jibu tosha
 
Back
Top Bottom