Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Jan 7, 2023 #41 Reuben Challe said: Simu mpya boksi lake ni sealed Kama sio mshamba huwezi kupigwa boss Click to expand... Siku hizi wana wananunua simu kwa kilo hapo dubai wanakuja kufunga seal hapo kkoo. Usidanganyike kirahisi.
Reuben Challe said: Simu mpya boksi lake ni sealed Kama sio mshamba huwezi kupigwa boss Click to expand... Siku hizi wana wananunua simu kwa kilo hapo dubai wanakuja kufunga seal hapo kkoo. Usidanganyike kirahisi.
Traxtion JF-Expert Member Joined Dec 10, 2021 Posts 6,003 Reaction score 12,052 Jan 7, 2023 #42 Bavaria said: Siku hizi wana wananunua simu kwa kilo hapo dubai wanakuja kufunga seal hapo kkoo. Usidanganyike kirahisi. Click to expand... Duuh.. kwa hiyo utazijuaje
Bavaria said: Siku hizi wana wananunua simu kwa kilo hapo dubai wanakuja kufunga seal hapo kkoo. Usidanganyike kirahisi. Click to expand... Duuh.. kwa hiyo utazijuaje
daraja la kigamboni JF-Expert Member Joined Apr 28, 2016 Posts 3,342 Reaction score 3,229 Jan 8, 2023 #43 jay-millions said: Gari mpya kwa gari used unachagua nn? Mwanamke mpya kwa mashangazi unachagua nn? Click to expand... Mpya
jay-millions said: Gari mpya kwa gari used unachagua nn? Mwanamke mpya kwa mashangazi unachagua nn? Click to expand... Mpya
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,088 Reaction score 40,075 Apr 26, 2023 #44 Boutafrica said: Aisee zanzibar kuna simu used za hatari kutoka ulaya na uarabuni,unakuta simu kali balaa afu inauzwa 150k tu au imezidi sn 180k.... Click to expand... Chimbo gani hilo?
Boutafrica said: Aisee zanzibar kuna simu used za hatari kutoka ulaya na uarabuni,unakuta simu kali balaa afu inauzwa 150k tu au imezidi sn 180k.... Click to expand... Chimbo gani hilo?
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,088 Reaction score 40,075 Apr 26, 2023 #45 Forest Hill said: Mleta mada alikua na maana kua IST mpya kilometa 0 inauzwa millioñ 50,kwa hela hiyo hiyo unaweza kununua discovery 3 used,,ushamuelewa?? Click to expand... Ha ha ha ha ha
Forest Hill said: Mleta mada alikua na maana kua IST mpya kilometa 0 inauzwa millioñ 50,kwa hela hiyo hiyo unaweza kununua discovery 3 used,,ushamuelewa?? Click to expand... Ha ha ha ha ha
M MtoMsimbazi JF-Expert Member Joined Aug 19, 2009 Posts 2,076 Reaction score 3,549 Apr 26, 2023 #46 Aleyn said: Chimbo gani hilo? Click to expand... Darajani kuna maduka kibao ya simu
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,088 Reaction score 40,075 Apr 26, 2023 #47 MtoMsimbazi said: Darajani kuna maduka kibao ya simu Click to expand... Bei zake ni cheap kuliko kkoo?
MtoMsimbazi said: Darajani kuna maduka kibao ya simu Click to expand... Bei zake ni cheap kuliko kkoo?
Traxtion JF-Expert Member Joined Dec 10, 2021 Posts 6,003 Reaction score 12,052 Apr 26, 2023 #48 MtoMsimbazi said: Darajani kuna maduka kibao ya simu Click to expand... Darajani last year nilikuta wanauza iPhone 8 plus kwa 250,000/= used
MtoMsimbazi said: Darajani kuna maduka kibao ya simu Click to expand... Darajani last year nilikuta wanauza iPhone 8 plus kwa 250,000/= used