Simu feki zimerudi

Simu feki zimerudi

mtama one

Senior Member
Joined
Mar 27, 2017
Posts
109
Reaction score
47
Yaani leo nimeshuhudia kwa.macho yangu mtu ana simu ya kitochi iko mfukoni.hana habari mpaka tunaulizana.mbona kuna.kitu kama.waya kinaungua ghafla jamaa anaona.moshi unatoka mfukoni.kutoa mfuko simu imeungua sehemu ya betri bahati hakuungua
 
Yaani leo nimeshuhudia kwa.macho yangu mtu ana simu ya kitochi iko mfukoni.hana habari mpaka tunaulizana.mbona kuna.kitu kama.waya kinaungua ghafla jamaa anaona.moshi unatoka mfukoni.kutoa mfuko simu imeungua sehemu ya betri bahati hakuungua
Kwani ziliwahi kuondolewa ?
 
Yaani leo nimeshuhudia kwa.macho yangu mtu ana simu ya kitochi iko mfukoni.hana habari mpaka tunaulizana.mbona kuna.kitu kama.waya kinaungua ghafla jamaa anaona.moshi unatoka mfukoni.kutoa mfuko simu imeungua sehemu ya betri bahati hakuungua
Si.waliwahi kuziondoa.feki zote 2016
 
Tusibishane mimi nilikuwa nayo na nikapeleka tigo nikapewa original
Yaani hivi hivi upeleke kopo lako ambalo halifahamiki uliokota wapi halafu upewe simu mpya ! Sidanganyiki .

Ukweli ni kwamba TCRA waliwahi kuropoka kwamba wamezifungia simu feki ( si kuziondoa ) , hata hivyo hakuna uhakika wowote kama zilifungiwa kweli .
 
una uhakika kama yeye anitumia kwa mawasiliano? Kama kwake ni silaha au kiberiti cha kucharge jee?
 
Back
Top Bottom