Simba yaua

Mahweso

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
1,098
Reaction score
1,501
Mnyama apania kulibakisha kombe nyumbani, pole kwa azam kwa kupata kichapo, mnyama kukipiga fainali na kcc
 
mnyama kaua 2-0, wafungaji joseph owino na amri kiemba. kwa maelezo zaidi pitia bongostaz.blogspot.com utapata picha na maelezo ya mechi nzima.
 
Bravo mnyama.
Rage akiondoka mambo yatazid kuwa mazur zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…