Mahweso JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 1,098 Reaction score 1,501 Jan 10, 2014 #1 Mnyama apania kulibakisha kombe nyumbani, pole kwa azam kwa kupata kichapo, mnyama kukipiga fainali na kcc
Mnyama apania kulibakisha kombe nyumbani, pole kwa azam kwa kupata kichapo, mnyama kukipiga fainali na kcc
A aduwilly JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 1,191 Reaction score 320 Jan 10, 2014 #2 c useme kashinda ngapi basi
Bwana Mudogo JF-Expert Member Joined Mar 13, 2013 Posts 458 Reaction score 78 Jan 10, 2014 #3 ngapi na wafungaji hakina nani mkuu?
K Kigonsela Member Joined Dec 31, 2013 Posts 24 Reaction score 10 Jan 11, 2014 #4 mnyama kaua 2-0, wafungaji joseph owino na amri kiemba. kwa maelezo zaidi pitia bongostaz.blogspot.com utapata picha na maelezo ya mechi nzima.
mnyama kaua 2-0, wafungaji joseph owino na amri kiemba. kwa maelezo zaidi pitia bongostaz.blogspot.com utapata picha na maelezo ya mechi nzima.
M MZAWATA JF-Expert Member Joined Feb 10, 2011 Posts 556 Reaction score 96 Jan 11, 2014 #5 Bravo mnyama. Rage akiondoka mambo yatazid kuwa mazur zaid