Mi namjua Rage kuliko hata majority ya Wanachama wa Simba....mfano wakati Simba ikivurunda na Rage kukimbilia India ksbb alizozidai ni za kimatibabu si Wanachama wa Simba walikuwa wakijiapiza kuwa akirudi tu wanampiga chini,sikuwaambia kuwa watasukuma gari lake.....nafikiri wote mliona yale yaliyotokea pale JK Nyerere Airport,huyo ndiye Ismael mAden ya mahaRage