Kitu kama hicho kipo hata kabla ya haya maahindano ya chan yanayoendelea kulikuwa na utaratibu kama huu kwa timu mwenyeji ilialika baadhi ya nchi.
Utopolo hawawezi kutupa kitu cha ziada kwani aifa ni timu inayoshiriki klabu bingwa afrika wao watafute timu zilizoshinda makombe yanayofanana na mapinduzi wacheze nazo