Uongozi wa simba SC umefikia makubaliano na Ayoub Lakred kuachana.
Ayoub ameitumikia Simba kwa msimu mmoja na kuifanya timu hiyo kushika nafasi ya tatu kwenye Ligi.
Naelewa kuwa Simba SC imefanya maamuzi ya kumuachia Ayoub kutokana na majeraha yake.
View attachment 3071561