white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,316
- 13,282
kumbe hawa wazee wa yanga ni wahuni sana!juzi mtangazaji za chanel 5,patric aliwatembelea makwao akashangaa kukuta makochi na mazulia wanayo2mia makwao yana rangi nyekundu!akawauliza kulikoni mmekuwa mstari wa mbele kukataa logo ya vodacom yenye rangi nyekundu wakati majumbani mwenu mnazo?wakamwambia hapa tumeweka kwenye masofa ili tuwakalie!na mazulia ili tuwakanyage,kwani wamezoea kukanyagwa na sio tuwavae!