Simba na Yanga huku Mtafika lini?

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,236
4,031
Nyie Simba SC na UTOPOLO hii game kati ya Ahly na Wydad, mnaitizama ?

Mkiiangalia hii game , je itawachukua karne ngapi kufika huko?

Hizo level mnaziona? Au ndio mtaendelea kumgombania chama na Morrison?

Mnatakiwa kujifunza maana ya investment kwenye soka na kununua wachezaji walio Serious na kazi na wenye viwanga, hakuna uchawi au sihri na kuwasha moto, ni mambo hovyo na aibu. Mpira sio msemaji wa timu, mpira ni investment.

Mnaokotaokota machikwende, mamugalu, machikwende. Halafu unaweka target ya kufika nusu fainali lol .

Fanyeni investment, wala hamtohitaji eti msemaji wa klabu, klabu itajisemea yenyewe.

Kuna wale wanaosumbua watu mtaani eti kuhamasisha, ni upumbavu wa Hali ya juu na kukosea watanzania heshima, yaani tunakaririshana ujinga kuwa klabu itafanya vyema kwa kushinda mitandaoni na kuzunguka mitaani.

Kuna yule mwîngine yeye kila akiamka ni kuangalia kipi kibaya cha makolo na kuanza kukisemea, acheni ujinga fanyeni investment, UTOPOLO haiwezi hata kumaliza preliminary stage ya klabu bingwa Africa....

Angalia maana ya investment kati ya Wydad na Ahly and enjoy ,
 
Manara alitutabiria wananchi kuwa kama kombe la CAF litachukuliwa na club ya hapa Tanzania basi hiyo club itakuwa ni Yanga
 
Yani Al Ahly mpaka dakika ya 65 hawana hata on target aisee
 
Manara alitutabiria wananchi kuwa kama kombe la CAF litachukuliwa na ub ya hapa Tanzania basi hiyo club itakuwa ni Yanga

Inawezekana, lakini ni baada ya vitukuu vya Manara kuwa mavumbini
 
Mnaona Investment ya Ahly na pumzi ya moto wanayovuta si ya mchezo,

Nyie ma UTOPOLO na SSC endeleeni kuibiana wacheaji na kugombania Ma Morison Ma chama na takataka nyingine... hizi level mtaendelea kuziangalia kwa TV tu

Ushauri wangu , wachezaji ambao ni serious Africa wapo , sajili, muhesabiwe
 
Hapa kwenye hii game ndio tutasema mpira unamatokeo matatu

But SSC Kuishia Robo final kila mwaka ni kwasababu ya poor investment, full stop
 
FT Al Ahly kashachapika bao 2 na kombe ataliona kama picha ya samaki tu
 
Ahly wanajifanya wanamiliki sana soka la Africa , Acha wapigwe

Hivi mikisoni hata bench haruhusiwi kukaa?
 
Nyie Simba SC na UTOPOLO hii game kati ya Ahly na Wydad, mnaitizama ?

Mkiiangalia hii game , je itawachukua karne ngapi kufika huko?

Hizo level mnaziona? Au ndio mtaendelea kumgombania chama na Morrison?

Mnatakiwa kujifunza maana ya investment kwenye soka na kununua wachezaji walio Serious na kazi na wenye viwanga, hakuna uchawi au sihri na kuwasha moto, ni mambo hovyo na aibu. Mpira sio msemaji wa timu, mpira ni investment.

Mnaokotaokota machikwende, mamugalu, machikwende. Halafu unaweka target ya kufika nusu fainali lol .

Fanyeni investment, wala hamtohitaji eti msemaji wa klabu, klabu itajisemea yenyewe.

Kuna wale wanaosumbua watu mtaani eti kuhamasisha, ni upumbavu wa Hali ya juu na kukosea watanzania heshima, yaani tunakaririshana ujinga kuwa klabu itafanya vyema kwa kushinda mitandaoni na kuzunguka mitaani.

Kuna yule mwîngine yeye kila akiamka ni kuangalia kipi kibaya cha makolo na kuanza kukisemea, acheni ujinga fanyeni investment, UTOPOLO haiwezi hata kumaliza preliminary stage ya klabu bingwa Africa....

Angalia maana ya investment kati ya Wydad na Ahly and enjoy ,
Soka la Tanzania lina haribiwa na mambo ya fuatayu.
1. Washabiki (Simba na Yanga),
Sisi ndio tunapaswa kuwa wa game changer wa mpira wa bongo! ila sasa mpira wetu ni kumfunga simba au yanga! hapo ndio climax ya soka letu (ujinga) hutakaa usikie mshabiki analalamika mechi kadhaa alizofungwa na timu tofauti na hizo mbili

2. Rushwa na Upendeleo.
Hili ni jambo lililowazi kabisa, Yanga na Simba zinapendelewa sana na vyombo vinavyosimamia soka la TZ., na sababu kubwa ni unazi wa viongozi katika timu hizi. na timu hizi ndio zinaongoza kwa kutoa rushwa ili kupata matokeo.

3. Uwekezaji finyu (mdogo) wa fedha. Matajiri wanao wekeza katika timu hizi wamekuwa wanalalamika juu ya hasara zipatikanazo katika timu hizi! sasa najiuliza kwanini wanazing'ang'ania!? si waziache zijifie, na hapo ndio itakuwa mwanzo mpya wa soka la Tanzania.

4. Siasa, hii ni Tanzania tu, kuwa wanasiasa wanajiingiza moja kwa moja kwenye soka, na serikali haikemei jambo hili, Yan bongo ukidhakuwa mwanasiasa basi automatically unskuwa untouchable!
eg. Angalia H. Kigwa anamkomalia Mo, juu ya uwekezaji, hapo hapo source ya hayo yote ni kunyimwa mkopo wa pikipiki.
 
Hii mechi Wydad walikuwa nyumbani kabisa na kwa jinsi walivyocheza walistahili walichokipata
 
Nyie Simba SC na UTOPOLO hii game kati ya Ahly na Wydad, mnaitizama ?

Mkiiangalia hii game , je itawachukua karne ngapi kufika huko?

Hizo level mnaziona? Au ndio mtaendelea kumgombania chama na Morrison?

Mnatakiwa kujifunza maana ya investment kwenye soka na kununua wachezaji walio Serious na kazi na wenye viwanga, hakuna uchawi au sihri na kuwasha moto, ni mambo hovyo na aibu. Mpira sio msemaji wa timu, mpira ni investment.

Mnaokotaokota machikwende, mamugalu, machikwende. Halafu unaweka target ya kufika nusu fainali lol .

Fanyeni investment, wala hamtohitaji eti msemaji wa klabu, klabu itajisemea yenyewe.

Kuna wale wanaosumbua watu mtaani eti kuhamasisha, ni upumbavu wa Hali ya juu na kukosea watanzania heshima, yaani tunakaririshana ujinga kuwa klabu itafanya vyema kwa kushinda mitandaoni na kuzunguka mitaani.

Kuna yule mwîngine yeye kila akiamka ni kuangalia kipi kibaya cha makolo na kuanza kukisemea, acheni ujinga fanyeni investment, UTOPOLO haiwezi hata kumaliza preliminary stage ya klabu bingwa Africa....

Angalia maana ya investment kati ya Wydad na Ahly and enjoy ,
SAWA KOLOOOOO
 
Back
Top Bottom