Ayenda M
Member
- Jan 4, 2018
- 97
- 132
Maisha yanaenda kasi sana. Miaka mitatu au mmoja nyuma mchezo wa Simba na Yanga ulikuwa ni moja kati ya michezo inayowavutia wengi sana kuitazama. Mida hii kila sehemu pangekuwa pamezizima kwa sababu ya ukubwa mchezo huu. Mwaka huu ni tofauti kidogo.
Wachambuzi na wadau wa soka wakiongozwa na vyombo vya habari wanajadili Udhamini wa GSM kwenye ligi na mapinduzi Cup. Ni mada iliyofukia kimuhemuhe cha mchezo huu.
Kauli ya Mhamasishaji yule aliyenunuliwa imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza hamasa ya watu kuongelea mchezo huu.
Kuelekea mchezo huu kuna upande unajiamini sana huku ukiwa na tambo za kila aina, huku upande mwingine ukiwa kimya sana. Ni vita ya saikolojia kutoka kwa upande wa Timu ile ambayo CEO ni Ndugu yake na Malkia wa Uingereza.
Unadhani ni jambo gani ambalo linapelekea mchezo huu kuonekana umepooza?
Wachambuzi na wadau wa soka wakiongozwa na vyombo vya habari wanajadili Udhamini wa GSM kwenye ligi na mapinduzi Cup. Ni mada iliyofukia kimuhemuhe cha mchezo huu.
Kauli ya Mhamasishaji yule aliyenunuliwa imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza hamasa ya watu kuongelea mchezo huu.
Kuelekea mchezo huu kuna upande unajiamini sana huku ukiwa na tambo za kila aina, huku upande mwingine ukiwa kimya sana. Ni vita ya saikolojia kutoka kwa upande wa Timu ile ambayo CEO ni Ndugu yake na Malkia wa Uingereza.
Unadhani ni jambo gani ambalo linapelekea mchezo huu kuonekana umepooza?