BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,481
Mwarabu anakufa mapemaaaaaa
Thubutuu...
Almasily 3-1 Lion
Though naitakia Simba ushindi.
Mwarabu anakufa mapemaaaaaa
Simba imewatoa waarabu mara ngapiKama mnadhani simba ni chura subirini muone.kawaida sana simba kuwatoa waarabu.
Haloo CAF.., Simba wakitaka kujitoa kwenye huduma hii eti wabonyeze ngapi!?
naona ndo mtindo mpya wa waarab, wakija kwako ukimfunga iwe 1-0, 2-1 au 1-1 ili ukienda kwake akushindilie 4-0, 5-1.Mechi ya kwanza itakoyochezwa dar simba anaweza kushinda ila marudio kule misri ni bora simba muende na vikapu
Kuitoa timu maramoja ndo unakuwa kiboko yao?