mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
timu ya simba imewahi kuleta rekodi mpya ya kutofungwa mwaka mzima wa ligi.mwaka huu naona itatuletea rekodi mpya kwa kutoka sare msimu mzima
hongereni uongozi
hongereni uongozi
timu ya simba imewahi kuleta rekodi mpya ya kutofungwa mwaka mzima wa ligi.mwaka huu naona itatuletea rekodi mpya kwa kutoka sare msimu mzima
hongereni uongozi
Kibadeni na Julio wajiandae kuwa makocha wapya simba sc,,,haaaa....hhi simba karibu inatangaza ajira mpya kwa kocha....pamoja na kwenda bonden lakin bado sare?
Kwa nini tuangalie upande mmoja tu wa kutofunga? Hatuoni pia kwamba Simba ndiyo timu pekee ambayo haijafungwa kwenye ligi ya msimu huu? Huo ni mwanzo mzuri iwapo litaangaliwa swala la Simba kwa jicho zuri (optimistically). Tukumbuke kwamba 'Half empty = Half full'.timu ya simba imewahi kuleta rekodi mpya ya kutofungwa mwaka mzima wa ligi.mwaka huu naona itatuletea rekodi mpya kwa kutoka sare msimu mzima
hongereni uongozi
Nani anaweza kuisahau timu iliyo: twaa kombe la Vilabu la CECAFA kwa mara ya kwanza na kuendelea kulitwaa mpaka kufikia rekodi ya kulitwaa mara nyingi zaidi, toa wachezaji wa uwezo uliotukuka na adimu kama King Kibaden na Zamoyoni Mogela, shika nafasi ya pili kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Taifa, miongoni mwa timu mbili zenye idadi kubwa zaidi ya wapenzi nchini, miongoni mwa timu chache nchini zilizoasisiwa zamani zaidi na ikaendelea kuwapo tangu wakati huo, toa viongozi bora wa kandanda nchini wanaoendelea kukumbukwa hadi leo, chimbuko la timu kadhaa nchini zikiwamo Nyota Nyekundu na Azam, shirikiana na mtani wake Yanga kutandika mindombinu ya kiushabiki wa mpira nchini, ya kwanza kwa ukanda huu kuifunga timu ya Misri nyumbani kwao na kuitoa kwenye mashindano ya Vilabu vya Afrika, shiriki kikamilifu kuwaunganisha Watanganyika kupitia kandanda katika harakati za kugombea Uhuru wao, shirikiana na wenzao wa Zanazibar hasa Timu ya Kikwajuni katika kujenga Utanzania hata kabla Zanzibar na Tanganyika hazijawa Tanzania, endelea kuwaunganisha Watanzania kupitia matawi yao yaliyoenea Tanzania nzima, sehemu muhimu ya Jiji la Dar-es-salaam mpaka kufikia watu kudhani kwamba Simba ndiyo Msimbazi na Msimbazi ndiyo Simba, zipa rangi nyekundu na nyeupe tafsiri mahsusi ndani ya Tanzania, tengeneza matukio mengi ya kukumbukwa hadi kuwa ni sehemu ya historia ya nchi (kama maajabu ya kuifunga Mufulira Wonderers 5-0 kwao licha ya yenyewe kutanguliwa 4-0 nyumbani), toa mechi zisizosahaulika kwa usisimuzi wake (kama ile dhidi ya Yanga iliyochezwa Nyamagana 1974, ........... ? Anayeyajua hayo ataisahauje?Nyie bado munaikumbuka tu hiyo timu?
Kwa nini tuangalie upande mmoja tu wa kutofunga? Hatuoni pia kwamba Simba ndiyo timu pekee ambayo haijafungwa kwenye ligi ya msimu huu? Huo ni mwanzo mzuri iwapo litaangaliwa swala la Simba kwa jicho zuri (optimistically). Tukumbuke kwamba 'Half empty = Half full'.
Nini tafsiri rahisi ya kuwa timu hiyo haijafungwa hadi sasa? Tafsiri rahisi ni: kwa sababu haifungiki. Nini tafsiri rahisiya kuwa haijafunga hadi sasa? Tafsiri rahisi ni: haifungi. Nini jawabu rahisi ya kuondokana na hali hiyo? Ni kubaki na jawabu ya kwanza (iendelee kuwa haifungiki) na kuondokana na jawabu ya kwanza (iwe inafunga). Kwa waliosoma hesabu za 'simultaneous equations', ni kwamba ufumbuzi wa isiyojulikana (unknown) moja umeshapatikana. Kwa kuitumia hiyo, ni rahisi kumalizia ufumbuzi wa iliyobaki. Hiyo ilikuwa ndiyo hoja yangu ya msingi.Si kweli mkuu. Sare mbili ni point mbili. Bora kushinda moja na kupoteza moja-point tatu
Ni kubaki na jawabu ya kwanza (iendelee kuwa haifungiki) na kuondokana na jawabu ya kwanza (iwe inafunga).
Masahihisho:
Ni kubaki na jawabu ya kwanza (iendelee kuwa haifungiki) na kuondokana na jawabu ya pili (iwe inafunga).
Mwendo wa tano tano wakuu!
Simba ina herufi 5
Phiri ina herufi 5
Imecheza game 5
Imedroo game 5
Imevuna point 5
Imefunga goli 5
Imefungwa goli 5.
Si mwendo wa tanotano huo?
Mwendo wa tano tano wakuu!
Simba ina herufi 5
Phiri ina herufi 5
Imecheza game 5
Imedroo game 5
Imevuna point 5
Imefunga goli 5
Imefungwa goli 5.
Si mwendo wa tanotano huo?
umesahau aveva herufi 5
Mwendo wa tano tano wakuu!
Simba ina herufi 5
Phiri ina herufi 5
Imecheza game 5
Imedroo game 5
Imevuna point 5
Imefunga goli 5
Imefungwa goli 5.
Si mwendo wa tanotano huo?