Simba inahitaji mageuzi katika aina ya wachezaji

Ndugu zangu wa simba, shida siyo wachezaji! Shida ni GSM anatuharibia ligi yetu. Hata kule kufungwa na Al Masry, chanzo ni GSM! Hili jambo hatutakiwi kulisahau hata sekunde moja. GSM anadhamini timu 7 kwenye ligi yetu.
Yanva inayocheza local ikashindwa international πŸ˜€πŸ˜€
 
Yaani wachezaji wanaocheza robo fainali eti sio wazuri bali wachezaji walioishia ngazi ya makundi ndio wazuri? Haki ya Mungu Tanzania SIHAMI hata Trump akinipa Green Card aliyoisaini personally!!
 
Hivi hii timu ya simba ina recruitment staff ?
Hivi huwa wanaangalia profiles za players wanaoendana na system of playing ya timu au huwa wanasajir tu?
 
Simba tunajifariji sana lakini kiukweli hii timu bado sana. Tunatakiwa mwanza kupata mtu mwenye utaalam wa kusajili wa chezaji. Hata kocha bado hatuna. Bora tumpe timu kaseja
 
Kama utadhani ni wachezaji ndio wenye shida utakuwa umekosea.
Tatizo hapo ni kocha.
Mwalimu hapo ndipo kazi yake ilipo.Kutengeneza mifumo ya kutoa nafasi kwa wachezaji kuonesha uwezo wao.

Akili tu ya mwalimu ndiyo inatakiwa
 
Milio imelejea kwa kasi mno wiki hii,bado tunajenga timu ubingwa mwakani.
 
5imba inahitaji watu makini na wenye maono kama Hersi na Arafat, kumtegemea Magori awasajilie wachezaji ni vituko πŸ˜€
 
Yanga inasajili Max nzengeli, Aziz ki, Pacome, Mzize nk. Wenzetu mkasajili Jean ahoua chapombe, Elias mpanzi mikimbio, Mukwala na Ataiba aliyepewa jina la messi πŸ˜€ Ngoja tuone
 
Yanga inasajili Max nzengeli, Aziz ki, Pacome, Mzize nk. Wenzetu mkasajili Jean ahoua chapombe, Elias mpanzi mikimbio, Mukwala na Ataiba aliyepewa jina la messi πŸ˜€ Ngoja tuone
Na mkafurushwa pia mkiwa kwenu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani wachezaji wanaocheza robo fainali eti sio wazuri bali wachezaji walioishia ngazi ya makundi ndio wazuri? Haki ya Mungu Tanzania SIHAMI hata Trump akinipa Green Card aliyoisaini personally!!
Akili yako haina akili. Hivi, umeshindwa kutuliza kichwa na kusoma kilichoandikwa na ukaelewa?
 
Akili yako haina akili. Hivi, umeshindwa kutuliza kichwa na kusoma kilichoandikwa na ukaelewa?
Wewe ndio huna akili. Wachezaji wa Simba kwa Afrika wanalinganishwa na wachezaji wa Alhaly, Mamelodi, Wydad na Esperance. Yaani wakubwa wenzie! Usirudie tena!!
 
Wewe ndio huna akili. Wachezaji wa Simba kwa Afrika wanalinganishwa na wachezaji wa Alhaly, Mamelodi, Wydad na Esperance. Yaani wakubwa wenzie! Usirudie tena!!
Unaweza ukaniletea source ya taarifa yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…