kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Najua CCM watajaribu kuiba kura yangu na kumpa mgombea/wagombea wao kama kawaida yao na kama walivyo fanya katika chaguzi zilizopita lakini angalau nitakuwa nimetimiza wajibu wangu wa kupigia kura UKAWA. Nimepata silaha, si nyingine ni kadi yangu ya kupigia kura.
Tukutane October.
Tukutane October.