amini neno la mwisho... kuwa hakupendi.... and life must go on!
mtu unamtangazia nia,anakusikiliza,mwisho anakukubalia,anakiri kukupenda pia,anakuonyesha upendo,anakujali,anajisikia faraja hata mbele ya rafiki zake anakutambulisha,anakukabidhi kila kitu kwenye mwili wake.
SASA UTATA:inakuwaje msichana leo anakutamkia kuwa HAKUPENDI,she doesn't love you.
Kama ndivyo kwa nini akufanyie mambo yenye kukuonyesha upendo wakati hakupendi?
Hivi wadada huwa mnamaanisha kweli kuwa hamtupendi?kwa nini awali mnasema mnatupenda na baadae mnabadilika?Tuelewe lipi na tuamini lipi?
Mtu akiwa na hasira anaropokwa vitu vya ajabu sana ambavyo anaweza kujutia baadae...Na kama mtu anajijua yupo hivo bora aepuka kusema lolote..THINK BEFORE YOU SPEAK!!!
Kama alifikia hatua ya kukutambulisha mpaka kwa rafiki zake huyo alikuwa anakupenda, wewe ndo umemnywesha sumu ya mapenzi/chuki, anakupenda halafu wewe hata hauleweki, humthamini, humjali, unamdharau, yaani ali invest upendo kwako lakini analipwa maumivu ya moyo kwanini asikuchukie. Pendo huja pale mtu apendwapo na hutokomea pinde tu uyeyushwapo, na likiisha kamwe halirudi tena by Lady Jay Dee.
Expectations are there to be expected......
Then what after you have seen me?If i could see you ONLY ONCE! teh.
Not in this matter!!!
.....Thanx mamiii kwa kunipenda..ila hapo kwa TANMO..unataka kuleta uume wenza..kitu ambacho si haki
Then what after you have seen me?
mtu unamtangazia nia,anakusikiliza,mwisho anakukubalia,anakiri kukupenda pia,anakuonyesha upendo,anakujali,anajisikia faraja hata mbele ya rafiki zake anakutambulisha,anakukabidhi kila kitu kwenye mwili wake.
SASA UTATA:inakuwaje msichana leo anakutamkia kuwa HAKUPENDI,she doesn't love you.
Kama ndivyo kwa nini akufanyie mambo yenye kukuonyesha upendo wakati hakupendi?
Hivi wadada huwa mnamaanisha kweli kuwa hamtupendi?kwa nini awali mnasema mnatupenda na baadae mnabadilika?Tuelewe lipi na tuamini lipi?
Je wale ukimuacha baada ya kukutamukia kuwa hakupendi na kesho anakuja analia umsamehe wao tuwaweke kundi gani?
mtu unamtangazia nia,anakusikiliza,mwisho anakukubalia,anakiri kukupenda pia,anakuonyesha upendo,anakujali,anajisikia faraja hata mbele ya rafiki zake anakutambulisha,anakukabidhi kila kitu kwenye mwili wake.
SASA UTATA:inakuwaje msichana leo anakutamkia kuwa HAKUPENDI,she doesn't love you.
Kama ndivyo kwa nini akufanyie mambo yenye kukuonyesha upendo wakati hakupendi?
Hivi wadada huwa mnamaanisha kweli kuwa hamtupendi?kwa nini awali mnasema mnatupenda na baadae mnabadilika?Tuelewe lipi na tuamini lipi?