Yukina
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 201
- 112
Mimi ni binti wa miaka 20 nimekua na tatizo kutopata siku zangu kwa miezi 4 sasa na nikashauriwa kupima Hormones na nikapewa dawa ! Ajabu ni kwamba baada ya kutumia dawa nimepata siku zangu za hedhi kwa miezi 2 na mwezi uliofutaia zikaja kidogo sana kwa siku 1 tu ya pili zikapotea je tatizo ni nini au ni Cancer ya kizazi ?? Naomba ushauri