This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,906
- 4,981
Unataka kuwekeza shilingi ngapi zuzu Wewe, ili Mo aondoke. Ubongo umejaa kamasi.Hatutaki Pablo aondoke, tunataka Mo atuachie timu yetu.
Unataka kuwekeza shilingi ngapi zuzu Wewe, ili Mo aondoke. Ubongo umejaa kamasi.Hatutaki Pablo aondoke, tunataka Mo atuachie timu yetu.
Siyo kila mfumo unafanya kazi kila mahali. Hata ukimleta Klopp anaweza kufeli.Mmadiridi mwenye tikitaka yake imekuaje tena jamani mbona mapema sana?
Mwacheni atupe tikitaka.
Utopolo mkae kwa kutulia, Pablo yupo sana.
Ameishafukuzwa tayariHakuna timu yoyote duniani inayoweza kuvumilia kocha asiyeleta matokeo hata kama ana CV ndefu kuliko mlima Kilimanjaro , Simba sasa hivi hata lile PIRA BIRIANI tulilozoea kuliona limeyeyuka utadhani Chuma chakavu kinachotengeneza nondo
Nimeangalia kuanzia mapinduzi cup hadi kwenye ligi ya NBC , haijulikani hata fomesheni ambayo Simba inacheza , humu kocha hamna , Tumepigwa vibaya sana , kikubwa alichoonyesha mpaka sasa ni tabia yake mbaya ya kupiga mateke viti vya Plastic labda na mihasira isiyo na kichwa wala miguu .
Namtabiria kutimuliwa muda mfupi sana ujao .
matokeo mabovuMmmh, unamhukumu Pablo kwa kipi kibaya??
Tatizo la Simba siyo kocha, ni ujuha wa Simba kutosajili wachezaji (hasa washambuliaji) wa maana kwenye dirisha kubwa na hili dogo lililofungwa hivi karibuni.
Kwa hawa akina Mugala,Bocco,Kagere,n.k kocha Da Rossa mlimuonea bure,na huyu Pablo mnataka kumwonea,hata Juggen Klopp au Pep Guadiola mnaofikiria kuwaleta nao mtawafukuza tu.
Pablo hakuna tactics za kueleweka pale. Ingawa kwa game ya leo siwezi laumu sana.
Ni kweli mkuu- mm pia naamini tatizo sio kocha- tatizo ni usajili na mipango mibovu- kwa nini kwa mfano hawa -kusajili kiungo mkabaji mwingine ili asaidiane na Lwanga- mm Napendekeza ni bora kocha angejaribu kumchezesha Inonga Kama kiungo mkabaji, nyuma abaki Wawa na Onyango- zaidi ya hapo tusubirie nwakani- uza Bocco, mzamiru, Mgalu, Kagere, Bwalya, Dilunga, Nyoni, Morrison, leta vifaa vipyaSiyo kila mfumo unafanya kazi kila mahali. Hata ukimleta Klopp anaweza kufeli.
Simba inahitaji usajili wa maana Tena mkubwa.
Kagere, Bocco, Mugalu, Bwallya siwaoni wakiwa na msaada Tena KWA Simba.
Kanoute ni mzuri akicheza na Mkude. Lkn sioni km ataisaidia sana timu huko tuendako..
Pengo la Tadeo Lwanga linaonekana wazi.
Simba km timu inahitaji kufanya jambo kubwa mwisho wa msimu KWA kufanya usajili wa watu wa maana. Naona wanahitaji kuisuka timu upya.
Hatutaki Pablo aondoke, tunataka Mo atuachie timu yetu.
Hakuna wa kuyanunua hayo makapiNi kweli mkuu- mm pia naamini tatizo sio kocha- tatizo ni usajili na mipango mibovu- kwa nini kwa mfano hawa -kusajili kiungo mkabaji mwingine ili asaidiane na Lwanga- mm Napendekeza ni bora kocha angejaribu kumchezesha Inonga Kama kiungo mkabaji, nyuma abaki Wawa na Onyango- zaidi ya hapo tusubirie nwakani- uza Bocco, mzamiru, Mgalu, Kagere, Bwalya, Dilunga, Nyoni, Morrison, leta vifaa vipya
Ni makapi kwa humu mtandaoni, lkn ktk mpira wote hao watasajiliwa haraka sana KWA timu zetu. Kwamba Ruvu, Prison, Geita hawamhitaji Kagere au Dilunga , au Morisson.Hakuna wa kuyanunua hayo makapi
kwani Pablo kipindi cha usajili hakuwepoNi kweli mkuu- mm pia naamini tatizo sio kocha- tatizo ni usajili na mipango mibovu- kwa nini kwa mfano hawa -kusajili kiungo mkabaji mwingine ili asaidiane na Lwanga- mm Napendekeza ni bora kocha angejaribu kumchezesha Inonga Kama kiungo mkabaji, nyuma abaki Wawa na Onyango- zaidi ya hapo tusubirie nwakani- uza Bocco, mzamiru, Mgalu, Kagere, Bwalya, Dilunga, Nyoni, Morrison, leta vifaa vipya
kwani Pablo kipindi cha usajili hakuwepo