kyaibumba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 715
- 989
Nimefika mjini Vladvostok juzi juzi nikakaa hotel inaitwa Napol, nikiwa katika mazungumzo ma dada mmoja kwa jina Elizabeth , anasema kuwa wao warusia hutuchukulia kama watu wasio seriouse kwenye mahusiano, hasa waafrika ni wababaishaji wanaotaka kulelewa,
Kwa kifupi kamji kao ni kazuri kamepakana na bahari pande zote isipokuwa kaskazini,
Kana milima safi inayovutia zamani China na Russia wamekuwa kwenye msuguano wa chini chini kuhusu hapa
Huo ndo mgahawa wa Napoli
Nimekuta hakuna waafrika wengi, ila kwa fursa zinaonekana kuwapo sana.
Watu wanakazi za kufanya nyingi tu,
Nitamaliza Kilichonileta next week
kyaibumba
Kwa kifupi kamji kao ni kazuri kamepakana na bahari pande zote isipokuwa kaskazini,
Kana milima safi inayovutia zamani China na Russia wamekuwa kwenye msuguano wa chini chini kuhusu hapa
Huo ndo mgahawa wa Napoli
Nimekuta hakuna waafrika wengi, ila kwa fursa zinaonekana kuwapo sana.
Watu wanakazi za kufanya nyingi tu,
Nitamaliza Kilichonileta next week
kyaibumba