Siku Upinzani ukifa Tanzania, Twafaaaa.

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,942
18,669
Watanzania mkubali mkatae bila kuwa na upinzani Tungekuwa hatujafika hata hapa tulipofika leo. Viongozi wengi wa kiafrika na hasa wa Tanzania wapo vizuri kuhubiri sheria na kanuni za nchi lakini kwao nivigumu kufata izo sheria na kanuni. Leo tumeona mfano mzuri kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Dar na kamanda wake kugoma kufika Mahakamani huku wakiwa wamekingiwa kifua na mkulu.

Bila upinzani Tanzania hivi leo tusingekuwa tunajua hata huu msemo " Fisadi". Awamu ya Tano tumepata mkosi wa kupata viongozi wa ajabu ambao hawathamini utu hata kidogo. Yani kuna viongozi wana Roho mbaya kumzidi hata shetani. They just care about their Stupid Legacy na uroho wa madaraka. Hawataki kukosolewa wala kusemwa. Yani wanajifanya Mungu mtu.

" Mtu anaongoza nchi Maskini kama Tanzania anajiona kama Mungu. Hivi angekuwa anaongoza nchi kama USA ingekwaje sasa!"

Awamu iliyopita Tanzania tulitumia mabilion kutengeneza rasimu ya katiba. Lakini hivi leo hii serkal haitaki kusikia hata kidogo kuhusu swala la katiba mpya. Hii yenyewe iliyopo wanaisigina watakavyo.


Hii awamu ni ngumu sana kwa wapinzani Tanzania. Yani ndani ya mwaka mmoja tumeona Figusu nyingi sana hawa wapinzani wa nchi hii wamefanyiwa. Wengine wamepotezwa mpaka leo hii hawajulikani walipo na serikal haina habari nao.

Watanzania Tuwaombee sana hawa viongozi wa upinzani. Kwa sasa wanapitia wakati mgumu sana. Hii awamu ni ngumu na inatisha. Hawa wapinzani wakikata tamaaa tutambue kabisa Twafaaaa.
 
Mkuu umenena kweli tupu.

Wapinzani lazima tuwaombee sana kwa kweli.

Jaribu kufikiria kusingekuwa na upinzani kwa awamu hii hili jamaa lingetoa kila aina ya amri ya kidikteta.

Imagine upuuzi aliokuwa anaufanya huyu Daudi Bashite hivi karibuni hivi sasa umepelekwa kuhojiwa mahakamani na wapinzani... Nani mwingine angethubutu kutenda hivi walivyofanya akina Mbowe leo??

Namalizia kwa kusema.. Umewahi kuona wapi dunia hii mtu ana post ya juu kabisa mahali halafu hapo hapo aka wish kuwa na post za chini yake..!!??

Well, I wish I KUDU be RC.
 
Mkuu umenena kweli tupu.

Wapinzani lazima tuwaombee sana kwa kweli.

I can imagine kusingekuwa na upinzani kwa awamu hii hili jamaa lingetoa kila aina ya amri ya kidikteta.

Imagine upuuzi aliokuwa anaufanya huyu Daudi Bashite hivi karibuni hivi sasa umepelekwa kuhojiwa mahakamani na wapinzani... Nani mwingine angethubutu kutenda hivi wapivyofanya akina Mbowe leo??

Namalizia kwa kusema.. Umewahi kuona wapi dunia hii mtu ana post ya juu kabisa mahali halafu hapo hapo aka wish kuwa na post za chini yake..!!??

Well, I wish I could be RC.
Huyu anawishi awe hata mungu.

I WISH I KUDU BE GODI
 
Wewe ni MPUMBAVU tu,tunakuona hapa kila mara na umeamua kuifanya hii kama ajira yako,ila siku zako zinahesabika,. walikuwepo wabishi kama wewe ila wapo DOWN,endelea tu kujiona hero nyuma ya keyboard yako,endelea kujidanganya kuwa huku JF ndo upo salama kuandika UPUMBAVU wako.Serikali ipo na ipo makini sana kuliko unavyodhani,ni hayo tu kwa sasa.Soon hautakuwa huru kuandika upuuzi wako hapa.TAKE CARE.
Ndyo mmetumwa mje na viaccount vipya humu JF mwe mnatisha watu. Kwa taarifa yako sitishiki. Kufa tunakufa mara moja.
 
upinzani mbona hauwezi kufa au unamaanisha Ukawa na Act? hawa wanakufa, wanakuja wengine...ni nature ya binadamu kutofautiana so lazima upinzani uwepo tu
 
upinzani mbona hauwezi kufa au unamaanisha Ukawa na Act? hawa wanakufa, wanakuja wengine...ni nature ya binadamu kutofautiana so lazima upinzani uwepo tu
Upinzani unaoongelewa hapa sio unaosema wewe.

Wapinzani ni wengi hata CCM wamo ila lazima wawe wanafiki kutetea matumbo yao.
 
Watanzania mkubali mkatae bila kuwa na upinzani Tungekuwa hatujafika hata hapa tulipofika leo. Viongozi wengi wa kiafrika na hasa wa Tanzania wapo vizuri kuhubiri sheria na kanuni za nchi lakini kwao nivigumu kufata izo sheria na kanuni. Leo tumeona mfano mzuri kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Dar na kamanda wake kugoma kufika Mahakamani huku wakiwa wamekingiwa kifua na mkulu.

Bila upinzani Tanzania hivi leo tusingekuwa tunajua hata huu msemo " Fisadi". Awamu ya Tano tumepata mkosi wa kupata viongozi wa ajabu ambao hawathamini utu hata kidogo. Yani kuna viongozi wana Roho mbaya kumzidi hata shetani. They just care about their Stupid Legacy na uroho wa madaraka. Hawataki kukosolewa wala kusemwa. Yani wanajifanya Mungu mtu.

" Mtu anaongoza nchi Maskini kama Tanzania anajiona kama Mungu. Hivi angekuwa anaongoza nchi kama USA ingekwaje sasa!"

Awamu iliyopita Tanzania tulitumia mabilion kutengeneza rasimu ya katiba. Lakini hivi leo hii serkal haitaki kusikia hata kidogo kuhusu swala la katiba mpya. Hii yenyewe iliyopo wanaisigina watakavyo.


Hii awamu ni ngumu sana kwa wapinzani Tanzania. Yani ndani ya mwaka mmoja tumeona Figusu nyingi sana hawa wapinzani wa nchi hii wamefanyiwa. Wengine wamepotezwa mpaka leo hii hawajulikani walipo na serikal haina habari nao.

Watanzania Tuwaombee sana hawa viongozi wa upinzani. Kwa sasa wanapitia wakati mgumu sana. Hii awamu ni ngumu na inatisha. Hawa wapinzani wakikata tamaaa tutambue kabisa Twafaaaa.
Upinzani ulikufa siku mlipokubali kumeza ndoano ya kupokea makapi ya CCM!! Kwisha kazi. Wenye akili kama Dr Slaa wakaona bora kuachana na utapeli wa Vyama vya upinzani!!
 
Upinzani ulikufa siku mlipokubali kumeza ndoano ya kupokea makapi ya CCM!! Kwisha kazi. Wenye akili kama Dr Slaa wakaona bora kuachana na utapeli wa Vyama vya upinzani!!
Ccm yako ipo hoi na mwenyekiti wenu mwenye notce ya kuhtajka milembe
 
Back
Top Bottom