kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,732
- 13,214
Ayatoe tu, alikubaliana na mwalimu asiyaaandike, siyo asiyaseme.Kuna mambo mengi ya Mwl.Nyerere, Ahmed Rajabu anayo ktk kumbukumbu zake ila nasikitika ya kwamba atakufa nayo bila kuyatoa kwa jamii
Huyu mzee Ahmed rajab nazikubali sana makala zakeAhmed Rajab natamani ajiunge JF
Yule mwingine story zake mwisho kariakoo mtaa wa gerezaniNi usome makala za Ahmed Rajab kuliko kusoma makala ya yule "mwingine"
Ili achuane na mzee wa mastori ya kariakoo na gerezani enzi zileAhmed Rajab natamani ajiunge JF
Shigongohivi watoto mliozaliwa 2000 na ushee mnajivunia waandishi wapi wa habari wa zama zenu? .
Wenye Akili timamu tunajua mchango wake kwenye historia ya nchi hii...Ili achuane na mzee wa mastori ya kariakoo na gerezani enzi zile
Ushauri wangu kwa huyu mzee aandike kwa lengo la kuburudisha na kuhabarisha ila sio kwa lengi la kubadili historia au kuweka historia sawa,atakufa na sonona,maana story zake hakuna mtu anajaliWenye Akili timamu tunajua mchango wake kwenye historia ya nchi hii... View attachment 1977188
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣.Shigongo
Kati yako na yake Nani mwenye Sonono ikiwa Mzee yule mpaka wamiliki Jamiifrom wenyewe wanamfata mpaka kwake na kumpa Zawadi kwa michango yake humu ndani...Ushauri wangu kwa huyu mzee aandike kwa lengo la kuburudisha na kuhabarisha ila sio kwa lengi la kubadili historia au kuweka historia sawa,atakufa na sonona,maana story zake hakuna mtu anajali
Hujanielewa mimi pia nasoma sana makala zake zina ukweli sana tatizo wakubwa hawataki kusikia historia mpya zaidi ya ile iliyoandikwa na wao,matokeo yake huyu mzee atapata stress au sonona kama lengo ni kubadikisha historia,nadhani nimeelewekaKati yako na yake Nani mwenye Sonono ikiwa Mzee yule mpaka wamiliki Jamiifrom wenyewe wanamfata mpaka kwake na kumpa Zawadi kwa michango yake humu ndani...
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
View attachment 1977236
Naona wewe ndio utaki kunielewa Ndugu yangu jaribu kujipima wewe mwenyewe kati yako na Mzee Mohamed Said Nani mwenye Sonono...Hujanielewa mimi pia nasoma sana makala zake zina ukweli sana tatizo wakubwa hawataki kusikia historia mpya zaidi ya ile iliyoandikwa na wao,matokeo yake huyu mzee atapata stress au sonona kama lengo ni kubadikisha historia,nadhani nimeeleweka
Una kichwa kigumu sana,sasa mimi unanipimaje na huyo mzee are you seeious.mimi sio mwandishi wala mwanahistiria,mi sonona naitoa wapi,mi nasoma makala kujiburudisha yeye anaandika kwa lengo maalumNaona wewe ndio utaki kunielewa Ndugu yangu jaribu kujipima wewe mwenyewe kati yako na Mzee Mohamed Said Nani mwenye Sonono...
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
Unaona kosa lako umesahau kuwa yeye ile ni kazi yake sasa wewe sonona yako inakupelekea kutaka kumpangia kazi yake...Una kichwa kigumu sana,sasa mimi unanipimaje na huyo mzee are you seeious.mimi sio mwandishi wala mwanahistiria,mi sonona naitoa wapi,mi nasoma makala kujiburudisha yeye anaandika kwa lengo maalum
Ahaaa,hivi ukifanya kazi nzuri alafu wahusika wakajifanya hawaioni unajisikiaje,JF at least wameona mchango wake,vipi serikali,na ccm ambao chimbuko lake ni Tanu wamemkumbukaje tangu aanze kuandikaUnaona kosa lako umesahau kuwa yeye ile ni kazi yake sasa wewe sonona yako inakupelekea kutaka kumpangia kazi yake... View attachment 1977261
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app