Siku hizi kale kausingizi hakapo tena

Shida yangu sio kuruhusu, shida yangu nimekatamani hako kausingizi maana muda mrefu sana kamenitupa mkono.
Mimi bao la kwanza hua natumia dakika 30-40.
Kama kwa dakika zote hizo hajakojoa akatafute chupa kubwa la Uhai pure drinking water.

Mmmmhh mkuuu dakika 30-40 wewe ni punda kwani??[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huu uongo hapana aiseee
 
Mmmmhh mkuuu dakika 30-40 wewe ni punda kwani??[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huu uongo hapana aiseee
Dakika 30 mbona ni kawaida sana tu Darlin.
 
Mwanzo ulikuwa unapata bao la kukupa raha ila sahv bao linakuja kwaajiri ya kuzalisha tu
 
Kwahiyo ulikua unapiga Moja Chali mpaka usingizi kabisa na mbususu inakungoja. Sasa kwataarifa yako hiyo ilikua Ni dalili ya upungufu wa nguvu za kiume na saizi sio una upungufu tena ni ukosefu.
Dah ... umemaliza maneno
 
Zamani kondom zlikua nne kwnye pakti. Wameanza kuweka tatu hivi karibuni.
 
Duh... Huna stress zozote! Hongera sana Mkuu.
 
Vijana tuna safari ndefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…