Siku CCM ikibadili jina 'itakufa' haraka sana!

Siku CCM ikibadili jina 'itakufa' haraka sana!

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,290
Reaction score
38,948
Ni ukweli usiofichika kwamba CCM haibebwi na wanachama wema (kama wamo), matendo ambayo imefanya nchini wala hazina ya viongozi ambao wameshawahi kuitawala nchi(ukimuondoa marehemu baba wa taifa ambaye kimsingi kabisa hayumo tena)

CCM inabebwa na jina 'CCM' hiki ndicho kilichobaki kuwa hazina pekee ya hiki chama! Kuna baadhi ya wazee na akina mama hujisikia fahari sana kutaja neno 'CCM' bila hata kujua ndani ya hiyo CCM kuna nini!

Nitawapa mfano mmoja........Mwaka 2010 nikiwa kituo kimojawapo cha kupigia kura jimbo la Kawe alikuja mama mmoja wa makamo ambaye hajui kusoma wala kuandika.Alinikuta kituoni nikamuamkia kisha akaniambia na hapa namnukuu "mwanangu naomba uniwekee tiki katika kila mgombea wa CCM kwenye karatasi ya kura akimaanisha kuanzia diwani, mbunge na rais.! Nilimtazama sana yule mama ambaye alionekana dhahiri ni fukara na anayeishi maisha duni mno! Kwa hasira nilimtazama kisha nikafuatiwa na moyo uliojaa huruma na majonzi na nikaamua kufanya maamuzi juu ya kura ya yule mama.! Niliyofanya naomba yabaki kuwa siri yangu kwa sasa.!

Ndiyo maana nasema kuwa siku CCM ikiamua kubadili jina na kujiita jina lingine lenye wanachama na viongozi walewale basi itakufa haraka sana!


"Chagua chama na siyo mtu"-Mkapa
 
Ni ukweli usiofichika kwamba CCM haibebwi na wanachama wema (kama wamo), matendo ambayo imefanya nchini wala hazina ya viongozi ambao wameshawahi kuitawala nchi(ukimuondoa marehemu baba wa taifa ambaye kimsingi kabisa hayumo tena)

CCM inabebwa na jina 'CCM' hiki ndicho kilichobaki kuwa hazina pekee ya hiki chama! Kuna baadhi ya wazee na akina mama hujisikia fahari sana kutaja neno 'CCM' bila hata kujua ndani ya hiyo CCM kuna nini!

Nitawapa mfano mmoja........Mwaka 2010 nikiwa kituo kimojawapo cha kupigia kura jimbo la Kawe alikuja mama mmoja wa makamo ambaye hajui kusoma wala kuandika.Alinikuta kituoni nikamuamkia kisha akaniambia na hapa namnukuu "mwanangu naomba uniwekee tiki katika kila mgombea wa CCM kwenye karatasi ya kura akimaanisha kuanzia diwani, mbunge na rais.! Nilimtazama sana yule mama ambaye alionekana dhahiri ni fukara na anayeishi maisha duni mno! Kwa hasira nilimtazama kisha nikafuatiwa na moyo uliojaa huruma na majonzi na nikaamua kufanya maamuzi juu ya kura ya yule mama.! Niliyofanya naomba yabaki kuwa siri yangu kwa sasa.!

Ndiyo maana nasema kuwa siku CCM ikiamua kubadili jina na kujiita jina lingine lenye wanachama na viongozi walewale basi itakufa haraka sana!


"Chagua chama na siyo mtu"-Mkapa

Mkuu una ufunuo ungekuwa mhubiri ungekuwa na doctrine. anyway nakubaliana na wewe jina hili limeficha dhambi nyingi sana ndani na bahati mbaya waumini wake huwa hawataki hata kusikiliza na kuamini pale inapotokea mtu anaanika dhambi zilizomo ndani hata kama ukimpa ushahidi ...ni kama ugonjwa hivi unamwuua mtu lakini yeye hajui kama anakufa
 
Ni ukweli usiofichika kwamba CCM haibebwi na wanachama wema (kama wamo), matendo ambayo imefanya nchini wala hazina ya viongozi ambao wameshawahi kuitawala nchi(ukimuondoa marehemu baba wa taifa ambaye kimsingi kabisa hayumo tena)

CCM inabebwa na jina 'CCM' hiki ndicho kilichobaki kuwa hazina pekee ya hiki chama! Kuna baadhi ya wazee na akina mama hujisikia fahari sana kutaja neno 'CCM' bila hata kujua ndani ya hiyo CCM kuna nini!

Nitawapa mfano mmoja........Mwaka 2010 nikiwa kituo kimojawapo cha kupigia kura jimbo la Kawe alikuja mama mmoja wa makamo ambaye hajui kusoma wala kuandika.Alinikuta kituoni nikamuamkia kisha akaniambia na hapa namnukuu "mwanangu naomba uniwekee tiki katika kila mgombea wa CCM kwenye karatasi ya kura akimaanisha kuanzia diwani, mbunge na rais.! Nilimtazama sana yule mama ambaye alionekana dhahiri ni fukara na anayeishi maisha duni mno! Kwa hasira nilimtazama kisha nikafuatiwa na moyo uliojaa huruma na majonzi na nikaamua kufanya maamuzi juu ya kura ya yule mama.! Niliyofanya naomba yabaki kuwa siri yangu kwa sasa.!

Ndiyo maana nasema kuwa siku CCM ikiamua kubadili jina na kujiita jina lingine lenye wanachama na viongozi walewale basi itakufa haraka sana!


"Chagua chama na siyo mtu"-Mkapa

Mkuu kiasi flani wa TZ wanapenda jina CCM hasa mama na bibi zetu,Ila hapo kwenye red umekosea sana kama ulifanya tofauti na matakwa ya yule mama,ni dhambi pia,Nimemuomba Mungu na amekusamehe.
Ili watanzania wabadilike bado elimu ya demokrasia inahitajika(,Sijui nani atusaidie)
Viongozi CCM wanawaambia wananchi wasichague Upinzani kwani wakichagua upinzani ni kazi bure,Rais CCM,Waziri mkuu,mawaziri ,wabunge wengi CCM,Kwa hiyo kuchagua upinzani ni kama KUJIPOTEZA wenyewe----rejea kauli za Katibu mkuu CCM kampeni za Ubunge Kalenga
 
mawakala huwa wanapata taabu saana, utasikia " KILE CHAMA CHA NYERERE" ukitaja tu CCM wanakumbuka haraka hao, me nafikili ule mwenge sio bure hapa,,,,,
 
mawakala huwa wanapata taabu saana, utasikia " KILE CHAMA CHA NYERERE" ukitaja tu CCM wanakumbuka haraka hao, me nafikili ule mwenge sio bure hapa,,,,,

Mkuu tunapata shida sana na hawa watu!
 
kumbe mliiba kura kawe? refaa haya maneno yako ''''Niliyofanya naomba yabaki kuwa siri yangu kwa sasa''''

Ni ukweli usiofichika kwamba CCM haibebwi na wanachama wema (kama wamo), matendo ambayo imefanya nchini wala hazina ya viongozi ambao wameshawahi kuitawala nchi(ukimuondoa marehemu baba wa taifa ambaye kimsingi kabisa hayumo tena)

CCM inabebwa na jina 'CCM' hiki ndicho kilichobaki kuwa hazina pekee ya hiki chama! Kuna baadhi ya wazee na akina mama hujisikia fahari sana kutaja neno 'CCM' bila hata kujua ndani ya hiyo CCM kuna nini!

Nitawapa mfano mmoja........Mwaka 2010 nikiwa kituo kimojawapo cha kupigia kura jimbo la Kawe alikuja mama mmoja wa makamo ambaye hajui kusoma wala kuandika.Alinikuta kituoni nikamuamkia kisha akaniambia na hapa namnukuu "mwanangu naomba uniwekee tiki katika kila mgombea wa CCM kwenye karatasi ya kura akimaanisha kuanzia diwani, mbunge na rais.! Nilimtazama sana yule mama ambaye alionekana dhahiri ni fukara na anayeishi maisha duni mno! Kwa hasira nilimtazama kisha nikafuatiwa na moyo uliojaa huruma na majonzi na nikaamua kufanya maamuzi juu ya kura ya yule mama.! Niliyofanya naomba yabaki kuwa siri yangu kwa sasa.!

Ndiyo maana nasema kuwa siku CCM ikiamua kubadili jina na kujiita jina lingine lenye wanachama na viongozi walewale basi itakufa haraka sana!


"Chagua chama na siyo mtu"-Mkapa
 
kumbe mliiba kura kawe? refaa haya maneno yako ''''Niliyofanya naomba yabaki kuwa siri yangu kwa sasa''''

Unataka tuendelee kulea wajinga.?
 
Back
Top Bottom