Sijui nikatawanye???!

Mkuuu em jishtukie basi that chick could be your sister perhaps au one day she could be your daughter,utajisikiaje kujua kuwa katika umri mdogo kaingizwa kwenye mambo yaliyomzidi????????????usilolopenda kufanyiwa wewe usimfanyie mwenzako pia ishi kwa kufuata kanuni hii utafurahia maisha.
 
Mkuu una watoto wa kike wewe au wadogo zako wa kike?????????????kuweni na huruma jamani why mnaona hili kuwa jambo dogo sana angekuwa bintiyo jee ungechekekelea tu na kumpa go ahead???????????au unaongea kwa ujasiri wote huo kwa kuwa hayajakukuta?????????
mpe anachokitaka. By the way form 3 sio mtoto tena huyo. Ni mkubwa mwenzio.
 
usijaribu hata kidogo kudate na mwanafunzi ndugu yangu tafuta demu ambaye si dent mbona wapo wengi
 
 
Kuna sheria inabidi zirudishwe ili watu washike adabu. kaka zake wakikukamata unakula ujue unafanywa shoga muda si mrefu.
 
Hii ndo shida ya kizazi cha .com. Hata yale maadili ya kuishi na ndugu tu hayapo tena. Hivi kwa mwafrika ni tangu lini mtoto mdogo wa kike anayekuchukulia kama kaka yake akaanza tu from no where kukutongoza????
Halafu ukamkemea aache upuuzi huo asome yeye kanga'ang'ania???
a) Yani ni kwa sababu tu hujalea mtoto akakua akaanza kufanya huo upuuzi ukajua uchungu wake
b) Dadako angefanyiwa hivyo na huyo rafikiyo ungejickiaje?
c) Hao wazazi ulioishi chini ya dari yao, ukala chakula cha jasho lao na sasa umekua kidume nguvu za chakula hicho ndo unataka kumgegedea binti yao?

Dah! Sometimes mi naona adhabu wanazopewa wauwaji ni kuonewa...mbona kuua kuko nje nje??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…