Erickson0708
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 207
- 34
Ni binti ambae alikuwa first lover wangu since 2010 lkn imefika january mwaka huu tukaachana coz alikosa uaminifu kwang baada ya kwenda chuo. Namimi nikapata msichana mwingine ambae anaonyesha ananipenda kwa dhati.
Sasa shida ipo kwa huyu kamaliza chuo ananisumbua anadai ananipenda mimi tu. Namimi najikuta nipo kwenye wakati mgumu coz she waz ma first lover nahuyu nilie nae akijua sijui itakuaje isitoshe ndo yupo kidato cha sita.
Sasa shida ipo kwa huyu kamaliza chuo ananisumbua anadai ananipenda mimi tu. Namimi najikuta nipo kwenye wakati mgumu coz she waz ma first lover nahuyu nilie nae akijua sijui itakuaje isitoshe ndo yupo kidato cha sita.