johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Tangu enzi za Mbowe Hotel na baadae Billicanas ile Club iliwafanya Wakuja wapate Ustaarabu wa mjini
Na uzuri wa Bills hata bavicha na UVCCM waliunganishwa na Ustaarabu wa mjini na kwahiyo Itikadi ya Vyama waliweka pembeni
Nimeshangaa kukuta Vyuo Vya mjini Kati IFM na CBE vimesheheni Walugaluga tofauti na 1990s
Kwako Lucas 😂😂🔥
Na uzuri wa Bills hata bavicha na UVCCM waliunganishwa na Ustaarabu wa mjini na kwahiyo Itikadi ya Vyama waliweka pembeni
Nimeshangaa kukuta Vyuo Vya mjini Kati IFM na CBE vimesheheni Walugaluga tofauti na 1990s
Kwako Lucas 😂😂🔥