IPO hivi umeme hauwezipenya kwenye kizuizi mfano plastics au Mbao ,lzm kuwe na kiunganishi( hofu,woga,kutenda dhuluma nk maouvu yote).uchawi upo uamini usiamini lkn ili ukudhuru ni lazima uwe na connection yaani kwanza ni lazima uwe na uoga au hofu ya kuamini katika kurogwa,huwezi logeka km hauamini ktk ulozi,hakuna MTU mwenye uwezo wa kumloga MTU isipokuwa anaerogwa lazima aamini ya kuwa anaweza logwa au anaejihusisha na mambo ya kishirikina kuwa mchawi au kwenda Kwa waganga au kujihusisha na mambo ya madawa pale unakuwa umeweka connection, yaani kuruhusu wwe kuunganika na nguvu hasi unaziruhusu mwenyewe kujidhuru,ndo maana mchawi usumbua waoga akiingia ndani ukaogopa akutishapo ndo Furaha yake, lkn akiingia ukawa unamuangalia tu unamuacha afanye yake hawezi rudi tena,kinga ya uchawi ni kushikamana na imani yako ya dini,au kuyapuuzia kutoyaamini mambo ya kishirikina unaishi Kwa amani.Mifano hai wengine tumerogwa tangu hatujazaliwa had leo tunarogwa lkn mambo yetu yanatunyookea ni Kwa sababu atuamini hayo.Cha kukusaidia tafuta Vitabu au elimu za nguvu za asili uone zitendavo Kazi .power of positive thinking. Ungekuwa na nguvu ungeweza kuwasaidia waafrica wasichukuliwe utumwani au kutawaliwa na wakoloni ,lkn hawakurogeka sababu wale hawakuamini ktk uchawi.