Mtoto alikuwa analia kipindi jokate anataka kumbeba. Jokate akaamua kuweka hivyo mikono kama ishara ya kutombeba ili anyamaze na mtoto akatulia.. Si unajua rangi ya kijanj CCM vitoto hivi ni vi malaika vinaona mengi .. Jokate hana shida mtoto ndio analia akitaka kubebwa na Jokate ndio maana kaweka hivyo mikono