Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Sometimes nawaza, au huenda niliepushwa ili niwe somebody kama nilivyo now? Sawa nina vihela vya kunitosha mimi na kusaidia wengine wengi, but why sina papara na mbususu?
Nilisema nikipata maisha tu basi chupi zitanikoma, ila sasa hivi nachagua mimi nani wa kumfunua, so huenda nimeshawakinai.
Kila jambo lina kusudi lake, nakumbuka nilishawahi kulia na kuomba nipate chapa ili namimi ni roll na mademu wazuri kama wenzangu, ila vingi vilinibana.
Now hata mpenzi wangu mjamzito sometimes namtafutia tu sababu nimchape hata kakofi ka mahaba.
Kila jambo lina kusudi lake. Tusikate tamaa, wengine wanazikamata hela ujanani wengine uzeeni.
Mimi nimemaliza. Wa kuelewa ameelewa.
Nilisema nikipata maisha tu basi chupi zitanikoma, ila sasa hivi nachagua mimi nani wa kumfunua, so huenda nimeshawakinai.
Kila jambo lina kusudi lake, nakumbuka nilishawahi kulia na kuomba nipate chapa ili namimi ni roll na mademu wazuri kama wenzangu, ila vingi vilinibana.
Now hata mpenzi wangu mjamzito sometimes namtafutia tu sababu nimchape hata kakofi ka mahaba.
Kila jambo lina kusudi lake. Tusikate tamaa, wengine wanazikamata hela ujanani wengine uzeeni.
Mimi nimemaliza. Wa kuelewa ameelewa.